Kuna madhara gani kula karanga kwa wingi?

April Jr

JF-Expert Member
Mar 27, 2019
244
1,220
Natumia karanga kama breakfast, lunch hadi dinner,

Natafuna ziwe mbichi, au kavu zote twende ingawa napendelea zaidi zilizokaangwa nashushia na maji,chai,juice au soda habari inakua imeisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom