sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,016
Ndiyo sababu katiba mpya ni muhimuNdio hivyo,
- Hata ufanye madudu mazito kiasi gani hakuna wa kukuuliza, unadunda tu.
- Hata usababishe hasara kubwa kiasi gani sana sana utatetewa tu.
- Katiba ni kipeperushi tu hulazimiki kukifuata, hata usipokifuata hakuna wa kukulazimisha