masai sendoz
Member
- Aug 30, 2018
- 23
- 28
Kati ya wilaya inayoingiza mapato makubwa ni mufindi ila hakuna maendeleo sababu yakuikumbatia ccm,Mie ningeshauri viongozi wa chadema jikiteni kutoa elimu zaidi kwenye hii wilaya ili hata hawa watu wakianzisha maandamano yao uchwara wasusiwe na wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app