gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Wanajamvi,
hivi kuna maana yeyote kwa mwanamke kubadili jina lake la ubini na kuitwa kwa jina la ubini wa mume??
je kwakufaya hivyo inamaana kwamba wzazi wa watoto wa kike hawana sifa waipatayo kwa mafanikio ya watoto wao??
sijui kama nimeeleweka lkn kimfano iko hivi mimi gfsonwin nilizaliwa nikaitwa gfsonwin Massawe, sasa leo nimeolewa na Kaizer niitwe gfsonwin Kaizer. je inamaana yyte kuitwa hivyo?? na kama ndio je huko si kuwanyima wazazi wa mtoto wa kike haki yao ya kumili huyo mtoto??
hivi kuna maana yeyote kwa mwanamke kubadili jina lake la ubini na kuitwa kwa jina la ubini wa mume??
je kwakufaya hivyo inamaana kwamba wzazi wa watoto wa kike hawana sifa waipatayo kwa mafanikio ya watoto wao??
sijui kama nimeeleweka lkn kimfano iko hivi mimi gfsonwin nilizaliwa nikaitwa gfsonwin Massawe, sasa leo nimeolewa na Kaizer niitwe gfsonwin Kaizer. je inamaana yyte kuitwa hivyo?? na kama ndio je huko si kuwanyima wazazi wa mtoto wa kike haki yao ya kumili huyo mtoto??
Last edited by a moderator: