Kuna lugha kiongozi mkuu wa nchi hatakiwi kuzitumia

TIKO TRICKS

Senior Member
Jan 2, 2014
185
90
Hakika Bwana Rodrigo Duterte ni mtu ambaye anatikisa hali ya mambo (challenging the status quo) pale Philipines.

Inasemekana ameruhusu mauaji ya watuhumiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya pasipo hata kufikishwa mahakamani (extrajudicial killings) na inakadiriwa takriban watu 2,400 wamekwishauwawa tokea Bwana Duterte achukua uraisi mwezi June 2016 (mwaka huu). Anyway, hayo ni ya kwao wafilipino, nawaachia wao. Whether ni kweli au ni propaganda tu za vyombo vya habari vya magharibi.

What interests me the most ni kwamba huyu jamaa anavuka mipaka na kuwashushia lugha kali ya kuudhi hata viongozi wa dini akiwemo Pope Francis, Pia wakuu wa nchi na viongozi wengine akiwemo Obama, John Kerry na wengineo.

Katika uelewa wa kawaida, ukishakuwa mkuu wa nchi kuna lugha huwezi tena kutumia, hata kama wewe ni mtoto wa mjini au wa kitaa kiasi gani. Kiongozi wa nchi anawakilisha Taifa zima.

Kiongozi wa nchi ndiye mpeperusha bendera number 1 wa Taifa, bendera ambayo inafunika raia wote, wale waliomchagua na wasiomchagua. Anapaswa kuwaunganisha na kuachana na kauli za hasira ambazo most likely zitawaudhi wengine na kuwagawa kwa misngi ya kisiasa, kidini au kikabila.

A statesman popote pale should act like one, na kuacha lugha za mipasho na za kitaa ambazo hazina tija. Afterall Taifa linajengwa na wote, kodi unalipwa na wote, either walimpigia kura yeye na chama chake ama la.

Ni mtazamo tu katika kuperuzi hapa na pale.

Busara Kiwandai.
 
Yeah...you are very right!

Nina imani hata hapa nyumbani pia anausikia ujumbe wako.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hakika Bwana Rodrigo Duterte ni mtu ambaye anatikisa hali ya mambo (challenging the status quo) pale Philipines.

Inasemekana ameruhusu mauaji ya watuhumiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya pasipo hata kufikishwa mahakamani (extrajudicial killings) na inakadiriwa takriban watu 2,400 wamekwishauwawa tokea Bwana Duterte achukua uraisi mwezi June 2016 (mwaka huu). Anyway, hayo ni ya kwao wafilipino, nawaachia wao. Whether ni kweli au ni propaganda tu za vyombo vya habari vya magharibi.

What interests me the most ni kwamba huyu jamaa anavuka mipaka na kuwashushia lugha kali ya kuudhi hata viongozi wa dini akiwemo Pope Francis, Pia wakuu wa nchi na viongozi wengine akiwemo Obama, John Kerry na wengineo.

Katika uelewa wa kawaida, ukishakuwa mkuu wa nchi kuna lugha huwezi tena kutumia, hata kama wewe ni mtoto wa mjini au wa kitaa kiasi gani. Kiongozi wa nchi anawakilisha Taifa zima.

Kiongozi wa nchi ndiye mpeperusha bendera number 1 wa Taifa, bendera ambayo inafunika raia wote, wale waliomchagua na wasiomchagua. Anapaswa kuwaunganisha na kuachana na kauli za hasira ambazo most likely zitawaudhi wengine na kuwagawa kwa misngi ya kisiasa, kidini au kikabila.

A statesman popote pale should act like one, na kuacha lugha za mipasho na za kitaa ambazo hazina tija. Afterall Taifa linajengwa na wote, kodi unalipwa na wote, either walimpigia kura yeye na chama chake ama la.

Ni mtazamo tu katika kuperuzi hapa na pale.

Busara Kiwandai.
Ameomba samahani baada ya Obama kufuta kikao cha kukutana naye, wamekubaliana wakutane siku inayofuata, angalao huyu akikosea anaomba samahani haraka, kuna wengine hawaombi samahani badala yake utasikia wasaidizi wake wakisema hakueleweka au alikuwa anatania
 
Hakika Bwana Rodrigo Duterte ni mtu ambaye anatikisa hali ya mambo (challenging the status quo) pale Philipines.

Inasemekana ameruhusu mauaji ya watuhumiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya pasipo hata kufikishwa mahakamani (extrajudicial killings) na inakadiriwa takriban watu 2,400 wamekwishauwawa tokea Bwana Duterte achukua uraisi mwezi June 2016 (mwaka huu). Anyway, hayo ni ya kwao wafilipino, nawaachia wao. Whether ni kweli au ni propaganda tu za vyombo vya habari vya magharibi.

What interests me the most ni kwamba huyu jamaa anavuka mipaka na kuwashushia lugha kali ya kuudhi hata viongozi wa dini akiwemo Pope Francis, Pia wakuu wa nchi na viongozi wengine akiwemo Obama, John Kerry na wengineo.

Katika uelewa wa kawaida, ukishakuwa mkuu wa nchi kuna lugha huwezi tena kutumia, hata kama wewe ni mtoto wa mjini au wa kitaa kiasi gani. Kiongozi wa nchi anawakilisha Taifa zima.

Kiongozi wa nchi ndiye mpeperusha bendera number 1 wa Taifa, bendera ambayo inafunika raia wote, wale waliomchagua na wasiomchagua. Anapaswa kuwaunganisha na kuachana na kauli za hasira ambazo most likely zitawaudhi wengine na kuwagawa kwa misngi ya kisiasa, kidini au kikabila.

A statesman popote pale should act like one, na kuacha lugha za mipasho na za kitaa ambazo hazina tija. Afterall Taifa linajengwa na wote, kodi unalipwa na wote, either walimpigia kura yeye na chama chake ama la.

Ni mtazamo tu katika kuperuzi hapa na pale.

Busara Kiwandai.


!
!
Huku kwetu kuna sikio la kufa, halijawahi kusikia halisikii na kwa hali ilivyo halina mpango wa kusikia dawa.
 
Ameomba samahani baada ya Obama kufuta kikao cha kukutana naye, wamekubaliana wakutane siku inayofuata, angalao huyu akikosea anaomba samahani haraka, kuna wengine hawaombi samahani badala yake utasikia wasaidizi wake wakisema hakueleweka au alikuwa anatania

kichekesho, utakuta mtu kama huyo analazimisha aheshimiwe!!!! haiwezekani, ajiheshimu kwanza. bahati mbaya ukisha haribu heshima yako, inachukua muda na gharama kubwa kurudi.
 
kichekesho, utakuta mtu kama huyo analazimisha aheshimiwe!!!! haiwezekani, ajiheshimu kwanza. bahati mbaya ukisha haribu heshima yako, inachukua muda na gharama kubwa kurudi.
Ni kweli kabisa....viongozi wa afrika mashariki wanatakiwa kujifunza...heshma inazidi kushuka
 
kichekesho, utakuta mtu kama huyo analazimisha aheshimiwe!!!! haiwezekani, ajiheshimu kwanza. bahati mbaya ukisha haribu heshima yako, inachukua muda na gharama kubwa kurudi.
Pole sana!
 
Mtu huyu anapenda sana sana na wananchi wake .wamechoka na wakubwa wanonunuliwa na wauza madawa wakiwemo mpka mawaziri .wakuu wa jeshi na polisi. Na nchi kama America wenye siasa zenye mapengo ambayo watuhumiwa wa madawa ya kulevya wanaepuka vifungo. Kazini ya Raisi Du30 nzuri. Sanaaaaa. Ikiwa unachukua sheria ya serikali kwa wauza unga wenye kununua mpka maraisi basi bado hujatatua tatizo. .
 
Back
Top Bottom