Yaani kesi za akina Seth, Ruge zimekuwa nyepesi kuliko kesi ya Mbowe au wanasiasa wa upinzani.
Hii inamaanisha Africa viongozi wanajali maslahi yao zaidi kuliko ya wananchi. Ruge na Seth wamefanya ufisadi wa kutisha nchi hii lakini sababu haya mambo ya ufisadi hayamuathiri moja kwa moja kiongozi aliyepo madarakani basi huwa viongozi hawa hawasumbuliwi sana na kesi hizi.
Mbowe anaishininiza serikali iandae Katiba Mpya. Huyu anaoneka mbele ya watawala kuwa ni adui mkubwa sana hata kuliko yule alieiba pesa nyingi sana serikalini. wanajua katiba mpya ikipatikana basi maslahi ya wachache waliopo madarakani watakosa nguvu/fursa. Africa tubadilike kwa staili hii hatuwezi fikia China au ulaya mpaka dunia inaisha hii
Hii inamaanisha Africa viongozi wanajali maslahi yao zaidi kuliko ya wananchi. Ruge na Seth wamefanya ufisadi wa kutisha nchi hii lakini sababu haya mambo ya ufisadi hayamuathiri moja kwa moja kiongozi aliyepo madarakani basi huwa viongozi hawa hawasumbuliwi sana na kesi hizi.
Mbowe anaishininiza serikali iandae Katiba Mpya. Huyu anaoneka mbele ya watawala kuwa ni adui mkubwa sana hata kuliko yule alieiba pesa nyingi sana serikalini. wanajua katiba mpya ikipatikana basi maslahi ya wachache waliopo madarakani watakosa nguvu/fursa. Africa tubadilike kwa staili hii hatuwezi fikia China au ulaya mpaka dunia inaisha hii