TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,193
Ninewahi kusema uchaguzi wa mwaka huu si lele mama maana kila mtu anataka kuonyesha dunia nini maana ya haki na uhuru kwa wananchi wake.
"siku zote mimi nilikuwa nawazuia watu wasiingie barabarani nyote mnajua, mwaka huu simzuii mtu, atakaye amua kufanya lolote, kutetea haki yake si mzuii, ngojeni muziki tarehe 27 na 28 mtauona"
Leo na kesho kuna kauli zaidi ya hiyo na ukiona na kusikia kauli kama hizi ujue watu wamekuchoka na soon lolote linaenda kutokea ila tutazisikia kauli kutoka kwa viongozi wa vyama vya siasa zaidi ya hiyo.
"siku zote mimi nilikuwa nawazuia watu wasiingie barabarani nyote mnajua, mwaka huu simzuii mtu, atakaye amua kufanya lolote, kutetea haki yake si mzuii, ngojeni muziki tarehe 27 na 28 mtauona"
Leo na kesho kuna kauli zaidi ya hiyo na ukiona na kusikia kauli kama hizi ujue watu wamekuchoka na soon lolote linaenda kutokea ila tutazisikia kauli kutoka kwa viongozi wa vyama vya siasa zaidi ya hiyo.