Sina nia mbaya!
Lakini kwa muktadha wa nadharia!
Asilimia 40%-55% ya nyumba nyingi mijini zina dada wa kazi!
Hivyo katika kila nyumba 100 maana yake kuna wadada wa kazi 55 majumbani!
Hivyo katika makazi 10000 ya mji mmoja! Maana yake wapo wadada wa kazi takribani 55000 Hawaijui kesho yao kielimu na kimaisha!
Nataka kusema nini! Ni kwamba matokeo ya watoto hawa, ni malezi kutoka katika jamii walizotoka kuanzia Iman yao na mikoa yao kushindwa kuwaendeleza kielimu!
Je, ni dini gani hasa inaongoza kutoa wadada wa kaz majumbanii? Hapo utagundua lipo tatizo la mafundisho ya imani kiasi cha kuwatelekeza watoto kimalezi!
Pili iko mikoa inayoongoza kutoa wadada wa kazi, hili nalo ni tatizo la kikanda iko shida katika utoaji elimu kanda hizo!
Mila na destuli pia ni changamoto!
Lakini naomba kuishauri serikali Ione namna ya kuisimamia vyema ile sheria ya child labour ikiwezrkana iboreshwe ili kupunguza tatizo!
Kwa kuweka kipengele cha kuhakikisha watoto hawa wanaendelezwa! Pia mafundisho ya imani yasisitize pia elimu dunia!
Tuige mfano wa mkoa wa Kilimanjaro! Ingawa nako bado shida iko kidogo wilaya ya Rombo!
Kwasababu ukiona mdada wa kazi anatoka Kilimanjaro basi wengi wao hutoka Rombo/Tarakea na baadhi ya maeneo ya kishumundu
Lakini kwa muktadha wa nadharia!
Asilimia 40%-55% ya nyumba nyingi mijini zina dada wa kazi!
Hivyo katika kila nyumba 100 maana yake kuna wadada wa kazi 55 majumbani!
Hivyo katika makazi 10000 ya mji mmoja! Maana yake wapo wadada wa kazi takribani 55000 Hawaijui kesho yao kielimu na kimaisha!
Nataka kusema nini! Ni kwamba matokeo ya watoto hawa, ni malezi kutoka katika jamii walizotoka kuanzia Iman yao na mikoa yao kushindwa kuwaendeleza kielimu!
Je, ni dini gani hasa inaongoza kutoa wadada wa kaz majumbanii? Hapo utagundua lipo tatizo la mafundisho ya imani kiasi cha kuwatelekeza watoto kimalezi!
Pili iko mikoa inayoongoza kutoa wadada wa kazi, hili nalo ni tatizo la kikanda iko shida katika utoaji elimu kanda hizo!
Mila na destuli pia ni changamoto!
Lakini naomba kuishauri serikali Ione namna ya kuisimamia vyema ile sheria ya child labour ikiwezrkana iboreshwe ili kupunguza tatizo!
Kwa kuweka kipengele cha kuhakikisha watoto hawa wanaendelezwa! Pia mafundisho ya imani yasisitize pia elimu dunia!
Tuige mfano wa mkoa wa Kilimanjaro! Ingawa nako bado shida iko kidogo wilaya ya Rombo!
Kwasababu ukiona mdada wa kazi anatoka Kilimanjaro basi wengi wao hutoka Rombo/Tarakea na baadhi ya maeneo ya kishumundu