bila hiyo kitu mbona akikaa hawezi kuamka tena!Hakuna, alafu hayo maji mbona meupe sana yamewekwa glucose nini au macho yangu.
bila hiyo kitu mbona akikaa hawezi kuamka tena!
hivi ni wangapi tumemchoka huyu jamaa? ni wangapi kati yeti tukiamka kesho tukisikia huyu jamaa hayupo hatutasikitika? tuweni wakweli wa nafsi zetu na swali la mwisho je ni wangapi tunapenda tusikie kapatwa na mabaya kama kuanhuka jukwaani au akikaa hawezi tena kusimama?