ndegemzungu
Member
- Mar 10, 2019
- 92
- 240
ajabu wale jamaa kule wanakwenda kumpa ten ulaji.Ni mapambo tu. Hakuna sheria wala mantiki. Kuna yule sijui anaitwa Lugola ndio akaamua kushona kabisa na shati lenye mifuko ya bendera!
Kuna nati fulani nahisi haziko sawa kichwani mwake.
Hata mm ..huwa siwaamini wenye matumbo makubwaajabu wale jamaa kule wanakwenda kumpa ten ulaji.
kweli tunatofautiana kufikiri.mimi nikiona mtu ana tumbo kubwa kubwa nakosa imani na uwezo wa akili yake.
Unata uogopwe. Madai ni Mtu wa sistimu (system)
Unata uogopwe. Madai ni Mtu wa sistimu (system)
Mm ili niamin uzalendo wa lugola nataka aendelee kuvaa lile shatiNi mapambo tu. Hakuna sheria wala mantiki. Kuna yule sijui anaitwa Lugola ndio akaamua kushona kabisa na shati lenye mifuko ya bendera!
Kuna nati fulani nahisi haziko sawa kichwani mwake.
Ni mapambo tu. Hakuna sheria wala mantiki. Kuna yule sijui anaitwa Lugola ndio akaamua kushona kabisa na shati lenye mifuko ya bendera!
Kuna nati fulani nahisi haziko sawa kichwani mwake.
ajabu wale jamaa kule wanakwenda kumpa ten ulaji.
kweli tunatofautiana kufikiri.mimi nikiona mtu ana tumbo kubwa kubwa nakosa imani na uwezo wa akili yake.