R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,571
Sijui ni ushamba wa polisi ama sijui ni umbumbumbu wa wa tz. juzi usiku majira ya saa mbili hivi usiku nilitoka na mpenzi wangu kwenda kupunga upepe hapo coco beach, tukapiga wine glas mbili mbili tukajisikia hamu tukaona tumalizane tu hapo hapo maana kitanda cha kila siku kimetuchosha. tukaingia kwa gari yetu tukaendelea na starehe zetu, mara nasikia ngo ngo, ati polisi anagonga kiyoo cha gari.
Nikashusha kiyoo, nikamwuliza nikusaidie nini? ati ananiambia niko chini ya ulinzi, nikamwuliza kuna kosa gani? ananiambia ati ni kosa la kufanya mapenzi kwenye gari. nikamuuliza, hii gari na huyu mrembo ni mali ya nani?akasema hajui. nikapandisha kiyoo tukaendelea kubanjuana mpaka wote tukaridhika. then nikapiga gari gea tukaishia zetu.
Ombi langu kwa huyo kamanda wao, ajaribu kuwa anawapa semina hawa vijana wake. tena awaonye kuacha hiyo tabia yao mbaya ya kuwabugudhi watu wakiwa ktk starehe zao.wanaudhi sana
Nikashusha kiyoo, nikamwuliza nikusaidie nini? ati ananiambia niko chini ya ulinzi, nikamwuliza kuna kosa gani? ananiambia ati ni kosa la kufanya mapenzi kwenye gari. nikamuuliza, hii gari na huyu mrembo ni mali ya nani?akasema hajui. nikapandisha kiyoo tukaendelea kubanjuana mpaka wote tukaridhika. then nikapiga gari gea tukaishia zetu.
Ombi langu kwa huyo kamanda wao, ajaribu kuwa anawapa semina hawa vijana wake. tena awaonye kuacha hiyo tabia yao mbaya ya kuwabugudhi watu wakiwa ktk starehe zao.wanaudhi sana