kuna kiwanja kingine kinauzwa karibu na azam complex.kiwanja kipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi kiwanjani, huduma zote muhimu zipo umeme ,maji, kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 20 kwa mtu anayeijua mita vizuri ameshanielewa. Bei ni sh milioni 13 maongezi yapo. Kwa mawasiliano wasiliana nami 0716822166 au 0783298957 wahi uje kukiona.