MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Naona unajijibu kwa Id nyingine popoma.
Popoma ndiyo nini labda Ndugu yangu?
Naona unajijibu kwa Id nyingine popoma.
Hao ndio intelligensia,wenye taarifa zote za nchi kwa kila nyanja.TISS wanamlindaje rais physically?
Hivi mnajua kuhusu TISS?
Yaani mmeikuza TISS na kuifanya kuwa kitu kikubwa na ajabu wakati ni kiuhalisia sio kabisa.
Yaani kuna watu wanajikutaga ma CIA wanaleta movie kwenye ulinzi wa raisi . Waambie umewai kuona wapi kuna mtu anasimama nyuma ya raisi kwa nchi kama marekani hakuna ila SECRETE SERVICES officers wapo arround . Ila Africa paka tuone na wanajeshi na mabundukiTatizo la ujuaji limekuwa kero sana siku hizi!
Watu wamekuwa wajuaji kupindukia hadi kero!
Kwa taarifa yenu ANAEMLINDA NI MUNGU! hata hawa walinzi waliopo ni Auxiliary security tu!
MNABOA SANA NA UJUAJI WA KIPUUZI
Wakuangalia Movie za kuigiza
Sizijui protokali wala itifaki, binafsi niliona kitu kilinishtua ingawa wahusika wali react faster kidogo baada ya sekunde kadhaa!
Everyday is Saturday................................
Hahaaa.Popoma ndiyo nini labda Ndugu yangu?
Huna lolote wewe. Huu utaalam wa kijiweni peleka huko mitaani kwenu.Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.
Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281
Msaada kwenye tuta mtoa mada
Mambo mengine yanatakiwa kujadiliwa vijiwena na siyo hapa kwani ni aibu. Hivi jamaa hajaona marais wengine wanashuka kwenye ngazi wakiwa peke yao? Ulinzi ukishakuwa vizuri kwenye perimeter aliyo mhusika kunakuwa hakuna mashaka makubwa.Halafu yuko isolated sana
He has a point except for you Cuckoo.Huna lolote wewe. Huu utaalam wa kijiweni peleka huko mitaani kwenu.
Akili za vijana wa kibongo ndiyo hizi. Wanajitia ujanja wa mambo yaliyowazidi uwezo.kweli kabisa mkuu hili walifanyie kazi otherwise mama Samia watapita nae mapema sana
Point kwa nyie ''wajanja'' wa kibongobongo of course ipo.He has a point except for you Cuckoo.
hata hivo kwa mazingira ya hapo ni vigumu apate tatizo, hiyo sehemu lazima wamejaa walinzi, hata aliyepiga picha huenda ni mlinziNami niliona wamereact haraka mmh hatar
Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.
Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281
Kuna jamaa pale mbele kabisa kasimama hawamuoni, wale nyuma wenye reflektor usikute wamo kundi moja.Wapo vizuri tu
Labda mtoa madam anataka kumanisha kuwa mama katangulia mbele bila kukingwa na mlinzi sasa kama kuna wabaya wanaweza kumsnipe
conspiracy theories tu. Hiyo picha haionyes tatizo lolote la kiuslama kwa kiongozi. hao jamaa wawili hapo ardhini nido waliotangulia kutelemka na kuhakikisha kuwa mazingira yako katika hali nziri kiyusalama. Sasa wewe ulitaka iweje?Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.
Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281