KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Nimeona niseme hivi,
Sasa wakati wakuweka mahusiano mazuri na kila pande umefika na hii nikutokana na mivutano isiyokuwa na msingi kuendelea kuwepo,Kuanzia Bungeni ni mivutano,Vyama vya upinzania ni mivutano Hivyo inahitajika somo la uraia kwa wananchi kuwa wazalendo,pia vyombo vya dola kujiweka mbali na mivutano ya kisiasa...Haiingii akilini kuona majeshi yetu yafanyia ambushi hii inatisha hivi hivi kidogo kidogo baadae unakuta ni mkundi makubwa hivyo niombe tuwe na mahusiano mazuri ya kisiasa tusivutane ili likija swala ambalo ni hatarishi kwa usalama wa nchi wote tunaungana!
Ndiyo maana inafikia wananchi wanafurahia mauaji hii siyo ishara nzuri hata kidogo.
Mahusiano na vyombo vya dola ni muhimu sana mbaya inakuja vyombo vya dola vikijikita katika migogoro ya kisiasa ni hatari sana.
Hivi hao majambazi wa mkuranga wanahishi katika hiyo nyumba kwa mda gani??
Na sisitiza uzalendo sasa unahitajika tuweke mbali itikadi zetu za vyama.
Sasa wakati wakuweka mahusiano mazuri na kila pande umefika na hii nikutokana na mivutano isiyokuwa na msingi kuendelea kuwepo,Kuanzia Bungeni ni mivutano,Vyama vya upinzania ni mivutano Hivyo inahitajika somo la uraia kwa wananchi kuwa wazalendo,pia vyombo vya dola kujiweka mbali na mivutano ya kisiasa...Haiingii akilini kuona majeshi yetu yafanyia ambushi hii inatisha hivi hivi kidogo kidogo baadae unakuta ni mkundi makubwa hivyo niombe tuwe na mahusiano mazuri ya kisiasa tusivutane ili likija swala ambalo ni hatarishi kwa usalama wa nchi wote tunaungana!
Ndiyo maana inafikia wananchi wanafurahia mauaji hii siyo ishara nzuri hata kidogo.
Mahusiano na vyombo vya dola ni muhimu sana mbaya inakuja vyombo vya dola vikijikita katika migogoro ya kisiasa ni hatari sana.
Hivi hao majambazi wa mkuranga wanahishi katika hiyo nyumba kwa mda gani??
Na sisitiza uzalendo sasa unahitajika tuweke mbali itikadi zetu za vyama.