Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili za lolote kutokea katika Uchaguzi wa Mwaka huu

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,887
143,983
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi, na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe kwa kutegemea Bwana fulani ameamkaje siku hiyo.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Kwahiyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Mkuu pole, kama upo Tz safiri toka Mtwara to Bukoba au Mbeya to Arusha then hoji watu juu ya CCM na Dkt Magufuli, then tupe mrejesho.
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Bangi mbaya ,iache ,unadhurika taratibu hivyo bila ya wewe kujijua
 
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa mbele kuhakikisha haki inapatikana.

Ukisikiliza clip zao mitandaoni na kusoma wanayoyaandika,utaona ni kama watu ambao wameamua liwalo na liwe iwapo kuna watu wanapanga au kukusudia kuharibu huu uchaguzi na kwa mtazamo wangu, naona kabisa wanasiasa hawa wako desparate kwa kiasi kikubwa.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kuweka tofauti zao pembeni na kutengeneza coalition isiyo rasimi ili kupitia coalition hii, wasimame pamoja iwe mvua iwe jua.

Dalili pia zinaonyesha wana taarifa za nini kimepangwa au nini kinaweza kutokea hivyo na wao wanajiandaa kukabiliananazo.

Kingine nacho kiona ni wanasiasa wa chama fulani kikongwe kuungana na hawa wa upande wa pili either kwa uwazi au kwa kuwaunga mkono chini kwa chini, na hali hii inaweza kuwa serious zaidi iwapo mchujo wa wagombea katika chama fulani utafanywa kibabe.

Naziona pia dalili za wanasiasa hawa kunufaika na uungwaji mkono mkubwa kutoka nje iwapo kuna mambo yasiyofaa yatatendeka.

Mtaji wa wanasiasa siku zote ni watu, na mtaji huu safari hii unaundwa na watu ambao kwa namna moja au nyingine, teyari ni wahanga ndani ya miaka hii mitaoni hivyo lolote laweza tokea.

Hivyo,busara ikokesekana,tunaweza shuhudia ambayo hatukuwahi kuyashuhudia.
Unaishi Kenya au Tanzania?
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom