Kuna kila dalili za kurudi zama za "Mzee Ruksa"

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,492
Naona mama anafurahiwa na karibu kila mtu:
Wawekezaji washaomba wakutane nae waje wawekeze (jambo zuri, ila lisipoangaliwa tunaua vya kwetu pia kuna mamluki watapitia mlango huo plus wapiga dili)

Karuhusu upembuzi mbugani makampuni ya nje yakachimbe madini (mbuga zetu hatarini)

Ameruhusu wawekezaji waajiri watu wa nje yaani hata wafagiaji ilimradi wao wanapenda hivyo (tutashindwa kulinda ajira za ndani)

Mama anakuwa na matamko mengi, kikubwa ajue namna ya kuyasimamia maana binadamu tunapenda kurelax.

Binafsi nilipingana na JPM kwenye issue ya Covid except lockdown! But the rest Magufuli was a patriot, result oriented and mthubutu! Maendeleo yanahitaji watu waumie kwanza ili kujenga kesho.

"Hata wakati tunajenga nyumba zetu wenye uchumi wa kawaida huwa tunabana matumizi"

Hatumpangii mama cha kufanya, ila akumbuke kuna kundi la wazalendo die hard asipocheza nao kwa hekima atawapoteza.


...ondoa mapungufu ya JPM, bana wezi, linda rasilimali, jenga nidhamu kazini, imarisha miundo mbinu, pambana na wazembe, kuwa mzalendo!!

Jenga Tz huru inayowajibika!!
 
Naona mama anafurahiwa na karibu kila mtu:
Wawekezaji washaomba wakutane nae waje wawekeze (jambo zuri, ila lisipoangaliwa tunaua vya kwetu pia kuna mamluki watapitia mlango huo plus wapiga dili)

Karuhusu upembuzi mbugani makampuni ya nje yakachimbe madini (mbuga zetu hatarini)

Ameruhusu wawekezaji waajiri watu wa nje yaani hata wafagiaji ilimradi wao wanapenda hivyo (tutashindwa kulinda ajira za ndani)

Mama anakuwa na matamko mengi, kikubwa ajue namna ya kuyasimamia maana binadamu tunapenda kurelax.

Binafsi nilipingana na JPM kwenye issue ya Covid except lockdown! But the rest Magufuli was a patriot, result oriented and mthubutu! Maendeleo yanahitaji watu waumie kwanza ili kujenga kesho.

"Hata wakati tunajenga nyumba zetu wenye uchumi wa kawaida huwa tunabana matumizi"

Hatumpangii mama cha kufanya, ila akumbuke kuna kundi la wazalendo die hard asipocheza nao kwa hekima atawapoteza.


...ondoa mapungufu ya JPM, bana wezi, linda rasilimali, jenga nidhamu kazini, imarisha miundo mbinu, pambana na wazembe, kuwa mzalendo!!

Jenga Tz huru inayowajibika!!
Mzee ungebaki tu Chato. Ile nyumba ya milele ni kubwa mno, ilikuwa inawatosha kabisa watu wawili
 
Kwani unateseka ukiwa wapi mkuu
IMG-20210406-WA0066.jpg
 
Naona mama anafurahiwa na karibu kila mtu:
Wawekezaji washaomba wakutane nae waje wawekeze (jambo zuri, ila lisipoangaliwa tunaua vya kwetu pia kuna mamluki watapitia mlango huo plus wapiga dili)

Karuhusu upembuzi mbugani makampuni ya nje yakachimbe madini (mbuga zetu hatarini)

Ameruhusu wawekezaji waajiri watu wa nje yaani hata wafagiaji ilimradi wao wanapenda hivyo (tutashindwa kulinda ajira za ndani)

Mama anakuwa na matamko mengi, kikubwa ajue namna ya kuyasimamia maana binadamu tunapenda kurelax.

Binafsi nilipingana na JPM kwenye issue ya Covid except lockdown! But the rest Magufuli was a patriot, result oriented and mthubutu! Maendeleo yanahitaji watu waumie kwanza ili kujenga kesho.

"Hata wakati tunajenga nyumba zetu wenye uchumi wa kawaida huwa tunabana matumizi"

Hatumpangii mama cha kufanya, ila akumbuke kuna kundi la wazalendo die hard asipocheza nao kwa hekima atawapoteza.


...ondoa mapungufu ya JPM, bana wezi, linda rasilimali, jenga nidhamu kazini, imarisha miundo mbinu, pambana na wazembe, kuwa mzalendo!!

Jenga Tz huru inayowajibika!!
Yaani kwa sasa waje wasije hilo siyo tatizo kwetu. Ilimradi tunaishi kwa amani bila hofu ya kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na kutekwa, aendelee tu.
 
ni hakika, wacha tuchekelee tu meno yote nje, tutasaga meno
Kuna vitu unasijia vinatafakarisha sana,, mfano kuna sheria ya microfinance ya 2018,, ilisaidia sana kupunguza mlindikana wa wageni pasipo sababu,,mtu anajiita expatriate na ni zero tu,sasa hii mama anaturudisha tulikotoka au wengine hatujamwelewa!

Business people are always profit oriented,,ni uzindaki sana,mfano kwa VAT,yaani unauziwa bidhaa kwa bei ambayo ndani yake kuna VAT halafu mfanyabiashara anainyonga na hiyo,,akiambiwa alipe anasema anaonewa, usipowaangalia kwa jicho la ndani hawa jamaa utavuna mabua tu,,wafanyakazi wataendelea kuumia siku zote na ndio wataendelea kuelemewa,Tax evasion na tax avoidance ni rahisi sana kwa business people,
 
Naona mama anafurahiwa na karibu kila mtu:
Wawekezaji washaomba wakutane nae waje wawekeze (jambo zuri, ila lisipoangaliwa tunaua vya kwetu pia kuna mamluki watapitia mlango huo plus wapiga dili)

Karuhusu upembuzi mbugani makampuni ya nje yakachimbe madini (mbuga zetu hatarini)

Ameruhusu wawekezaji waajiri watu wa nje yaani hata wafagiaji ilimradi wao wanapenda hivyo (tutashindwa kulinda ajira za ndani)

Mama anakuwa na matamko mengi, kikubwa ajue namna ya kuyasimamia maana binadamu tunapenda kurelax.

Binafsi nilipingana na JPM kwenye issue ya Covid except lockdown! But the rest Magufuli was a patriot, result oriented and mthubutu! Maendeleo yanahitaji watu waumie kwanza ili kujenga kesho.

"Hata wakati tunajenga nyumba zetu wenye uchumi wa kawaida huwa tunabana matumizi"

Hatumpangii mama cha kufanya, ila akumbuke kuna kundi la wazalendo die hard asipocheza nao kwa hekima atawapoteza.


...ondoa mapungufu ya JPM, bana wezi, linda rasilimali, jenga nidhamu kazini, imarisha miundo mbinu, pambana na wazembe, kuwa mzalendo!!

Jenga Tz huru inayowajibika!!
Mzalendo Die hard ni;
Dotto James,
Paulo Makonda,
Bashiru Ally Kakurwa,
Humphrey Polepole,
Biswalo Mganga?
 
Yaani kwa sasa waje wasije hilo siyo tatizo kwetu. Ilimradi tunaishi kwa amani bila hofu ya kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na kutekwa, aendelee tu.

vinatakiwa kwenda sambamba hivyo,ili usijeachama mdomo wazi baadae kwa kulalamika.
 
Naona mama anafurahiwa na karibu kila mtu:
Wawekezaji washaomba wakutane nae waje wawekeze (jambo zuri, ila lisipoangaliwa tunaua vya kwetu pia kuna mamluki watapitia mlango huo plus wapiga dili)

Karuhusu upembuzi mbugani makampuni ya nje yakachimbe madini (mbuga zetu hatarini)

Ameruhusu wawekezaji waajiri watu wa nje yaani hata wafagiaji ilimradi wao wanapenda hivyo (tutashindwa kulinda ajira za ndani)

Mama anakuwa na matamko mengi, kikubwa ajue namna ya kuyasimamia maana binadamu tunapenda kurelax.

Binafsi nilipingana na JPM kwenye issue ya Covid except lockdown! But the rest Magufuli was a patriot, result oriented and mthubutu! Maendeleo yanahitaji watu waumie kwanza ili kujenga kesho.

"Hata wakati tunajenga nyumba zetu wenye uchumi wa kawaida huwa tunabana matumizi"

Hatumpangii mama cha kufanya, ila akumbuke kuna kundi la wazalendo die hard asipocheza nao kwa hekima atawapoteza.


...ondoa mapungufu ya JPM, bana wezi, linda rasilimali, jenga nidhamu kazini, imarisha miundo mbinu, pambana na wazembe, kuwa mzalendo!!

Jenga Tz huru inayowajibika!!
Mungu atupe uhai uzi huu tuuangalie 2025 achievement ya hiki.
 
Naona mama anafurahiwa na karibu kila mtu:
Wawekezaji washaomba wakutane nae waje wawekeze (jambo zuri, ila lisipoangaliwa tunaua vya kwetu pia kuna mamluki watapitia mlango huo plus wapiga dili)

Karuhusu upembuzi mbugani makampuni ya nje yakachimbe madini (mbuga zetu hatarini)

Ameruhusu wawekezaji waajiri watu wa nje yaani hata wafagiaji ilimradi wao wanapenda hivyo (tutashindwa kulinda ajira za ndani)

Mama anakuwa na matamko mengi, kikubwa ajue namna ya kuyasimamia maana binadamu tunapenda kurelax.

Binafsi nilipingana na JPM kwenye issue ya Covid except lockdown! But the rest Magufuli was a patriot, result oriented and mthubutu! Maendeleo yanahitaji watu waumie kwanza ili kujenga kesho.

"Hata wakati tunajenga nyumba zetu wenye uchumi wa kawaida huwa tunabana matumizi"

Hatumpangii mama cha kufanya, ila akumbuke kuna kundi la wazalendo die hard asipocheza nao kwa hekima atawapoteza.


...ondoa mapungufu ya JPM, bana wezi, linda rasilimali, jenga nidhamu kazini, imarisha miundo mbinu, pambana na wazembe, kuwa mzalendo!!

Jenga Tz huru inayowajibika!!
Kama ajira zitakuwepo,mushahara itaongezeka,pension itakuwepo,ufisadi utakuwepo ,bodi ya mikopo itapunguza riba ,demokrasia itakuwepi achaaaa uruksa uwepo !!!!!Tumeona madhara ya kujifanya ukaaaali kumbe wao na kanda yake wanapiga
 
Back
Top Bottom