Tetesi: Kuna kila dalili ya Mheshimiwa Charles Kitwanga kurudishwa ktk baraza la Mawaziri

Hali zenu wana JF siasa.

Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.

Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
si naye ni Mkolomije huyu?
I rest my case!
 
Back
Top Bottom