Kuna kila dalili ya CCM kuibuka kidedea ktk kata ya Moita wilaya ya Monduli. Awali kata ilikuwa nchini ya CHADEMA

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,469
Umuofia kwenu wadau,

Kutoka ktk chanzo kisicho na chembe ya uongo ni kuwa, CCM itashinda kwa vishindo huko Moita wilaya ya Monduli.

Mgombea wa CCM ambaye ni kanjanja wa darasa la saba ndugu Mbayani Damuni anachuana na msomi wa shahada ya maendeleo ya jamii ndugu Lobulu Lomunyaki.Aliyekuwa diwani wa kata hiyo kupitia CHADEMA ndugu Edward Sapunyu alihamia CCM na kugombea kupitia kura ya maoni lakini alishindwa kufua dafu.
 
Hvi wapinzani wanakubalije kuingia kwenye uchaguzi na tume iliyowavurugia uchaguzi 2015?? Dah msishangae mkaambulia kata moja afu muanze kulia lia tena mmeibiwa

Fanyeni mabadiliko ya tume na katiba ili chaguzi ziwe wazi na maoni ya wananchi maana mkiendelea hivi 2020 watajitokeza wapiga kura wachache tokea uhuru!! Kwakweli mnatukatisha tamaa
 
Umuofia kwenu wadau,

Kutoka ktk chanzo kisicho na chembe ya uongo ni kuwa, CCM itashinda kwa vishindo huko Moita wilaya ya Monduli.

Mgombea wa CCM ambaye ni kanjanja wa darasa la saba ndugu Mbayani Damuni anachuana na msomi wa shahada ya maendeleo ya jamii ndugu Lobulu Lomunyaki.Aliyekuwa diwani wa kata hiyo kupitia CHADEMA ndugu Edward Sapunyu alihamia CCM na kugombea kupitia kura ya maoni lakini alishindwa kufua dafu.
Huyu naye anaandika utadhani kura zilishapigwa. Subira yavuta heri. Unadhani wamasai ni mazuzu. Wako mswano. Wakati ukuta
 
Hvi wapinzani wanakubalije kuingia kwenye uchaguzi na tume iliyowavurugia uchaguzi 2015?? Dah msishangae mkaambulia kata moja afu muanze kulia lia tena mmeibiwa

Fanyeni mabadiliko ya tume na katiba ili chaguzi ziwe wazi na maoni ya wananchi maana mkiendelea hivi 2020 watajitokeza wapiga kura wachache tokea uhuru!! Kwakweli mnatukatisha tamaa
Mkuu wenye mamlaka ya kufanya mabadiliko ya katika sio upinzani, bahati mbaya rais tuliyenaye sasa ameshasema katiba si kipaumbele chake. Hivyo kususia uchaguzi kwa kigezo cha katiba mpya itakuwa ni sawa na kumkabidhi fisi bucha akulindie
 
Umuofia kwenu wadau,

Kutoka ktk chanzo kisicho na chembe ya uongo ni kuwa, CCM itashinda kwa vishindo huko Moita wilaya ya Monduli.

Mgombea wa CCM ambaye ni kanjanja wa darasa la saba ndugu Mbayani Damuni anachuana na msomi wa shahada ya maendeleo ya jamii ndugu Lobulu Lomunyaki.Aliyekuwa diwani wa kata hiyo kupitia CHADEMA ndugu Edward Sapunyu alihamia CCM na kugombea kupitia kura ya maoni lakini alishindwa kufua dafu.

acheni kujidanganya nyie popo wa kijani.mnajuwa vizuri mlivyobanwa 7na chadema moita.pamoja na kupeleka kikosi kizima cha usalama wa taifa wa wilaya.jeshi la police lote limehamia kwenye kata moja hadi na rpc wa mkoa wa arusha lakini bado mna hali mbaya wananchi wamesimama na misimamo yao.hizo hela mnazo gawa kwa kumtumia mfanyabiashara wa madini sanare kamwe hamtakaa mshinde.mkuu wa mkoa mpaka amebadilisha plate number za gari yake kisa kata ya moita lakini niwahakikishieni mtatuuwa ila hiyo kata haitakaa irudi ccm.ni aheri tuchinjane mpaka dakika ya mwisho.
 
Mkuu wenye mamlaka ya kufanya mabadiliko ya katika sio upinzani, bahati mbaya rais tuliyenaye sasa ameshasema katiba si kipaumbele chake. Hivyo kususia uchaguzi kwa kigezo cha katiba mpya itakuwa ni sawa na kumkabidhi fisi bucha akulindie
naelewa mkuu ila ilitakiwa walivalie njuga ikiwezekana huko bungeni wakiwakishe na kila wakipata fursa watoke povu kuhsu katiba mpya maana haki inadaiwa haiombwi maana kwa hali ya uchaguzi ya ssa wengi wanavunjika moyo kupiga kura maana wanajua anayeshinda sio atakayetangazwa huoni inavunja morale ya upinzani
 
Hvi wapinzani wanakubalije kuingia kwenye uchaguzi na tume iliyowavurugia uchaguzi 2015?? Dah msishangae mkaambulia kata moja afu muanze kulia lia tena mmeibiwa

Fanyeni mabadiliko ya tume na katiba ili chaguzi ziwe wazi na maoni ya wananchi maana mkiendelea hivi 2020 watajitokeza wapiga kura wachache tokea uhuru!! Kwakweli mnatukatisha tamaa
Unadhani ni rahisirahisi kama unavyodhani kufanya haya mabadiliko...nchi za kiafrika ndo siasa zake zilivyo....up to this stage mbowe kajitahidi kuimarisha upinzani na kwa kiasi kikubwa amefanikiwa na ndo mana ccm hawampendi na inawauma sana mbowe kuendelea kukalia kile kiti..kwa nchi za kiafrika na viongozi wake mambo siyo rahisi kama unavyofikiria ndugu.
 
Umuofia kwenu wadau,

Kutoka ktk chanzo kisicho na chembe ya uongo ni kuwa, CCM itashinda kwa vishindo huko Moita wilaya ya Monduli.

Mgombea wa CCM ambaye ni kanjanja wa darasa la saba ndugu Mbayani Damuni anachuana na msomi wa shahada ya maendeleo ya jamii ndugu Lobulu Lomunyaki.Aliyekuwa diwani wa kata hiyo kupitia CHADEMA ndugu Edward Sapunyu alihamia CCM na kugombea kupitia kura ya maoni lakini alishindwa kufua dafu.
si rahisi kihivyo utakumbuka uchaguzi huu upo muriet pia ,kivuli. nasema kivuli kitaisumbua sana ccm kwa sababu miaka mingi wananchi waliwaamini wakawapa mamlaka ya kupanga mipango ya maendeleo kata kwa kata mtaa kwa mtaa kiijji kwa kijiji kilichotokea kila mmoja anajua mipango ile iliishia kwenye makaratasi,baada ya wananchi kupata plan b waliwakataa kwenye kura ,kivuli kile cha kushindwa kwa mipango ya mtaa kwa mtaa ,kata kwa kata kijiji kwa kijiji kitawasumbua sana .kuna dhana kuwa chadema hata wakiweka jiwe watalichagua ,tujiulize kwanini wananchi wale wale wanatoa kauli hizi ,kwanini kauli hii isitoke kipindi hicho tulipokuwa na mamlaka ya kupanga mipango yetu ,suluhisho wanalo wenyewe waliolianzisha .kukubalika
 
Hvi wapinzani wanakubalije kuingia kwenye uchaguzi na tume iliyowavurugia uchaguzi 2015?? Dah msishangae mkaambulia kata moja afu muanze kulia lia tena mmeibiwa

Fanyeni mabadiliko ya tume na katiba ili chaguzi ziwe wazi na maoni ya wananchi maana mkiendelea hivi 2020 watajitokeza wapiga kura wachache tokea uhuru!! Kwakweli mnatukatisha tamaa
Wanaoweza kufanya nabadiliko sio vyama vya siasa Bali in wapiga kura. Kama wapiga kura wanaona kuna dhuluma nchi hii watawachagua wapinzani katika kila nyanja. Katika mfumo wabdemokrasia wanaofanya maamuzi ni wale walio wengi. Kwa msingi huo kama wananchi wanaona kuna haja ya mabadiliko wachague upinzani kwa serikali za mitaa madiwani na wabunge. wakifanya hivyo hayo yote yanayopigiwa kelele yanawezekana
 
Wanaoweza kufanya nabadiliko sio vyama vya siasa Bali in wapiga kura. Kama wapiga kura wanaona kuna dhuluma nchi hii watawachagua wapinzani katika kila nyanja. Katika mfumo wabdemokrasia wanaofanya maamuzi ni wale walio wengi. Kwa msingi huo kama wananchi wanaona kuna haja ya mabadiliko wachague upinzani kwa serikali za mitaa madiwani na wabunge. wakifanya hivyo hayo yote yanayopigiwa kelele yanawezekana
Sasa wananchi si ndio walitoa maoni tume ya warioba ilete tume huru ila hakuna lililotokea maana watawala waliona ndio kifo chao

na hata walipopiga kura kuchagua upinzani matokeo yaligeuzwa ipo mifano mingi sana ya kata tulizoporwa 2015 ssa huoni maoni ya wananchi yanapuuzwa na yatashusha morale yao ya kupiga kura???

mabadiliko ni muhim tukisema ni ngumu wakati hatujaribu kuyatafuta yatatucost 2020 sio tu upinzani ila sisi wananchi tunaopanga foleni masaa 6 alafu tunayemchagua kwa wingi hatangazwi mshindi
 
Wanaoweza kufanya nabadiliko sio vyama vya siasa Bali in wapiga kura. Kama wapiga kura wanaona kuna dhuluma nchi hii watawachagua wapinzani katika kila nyanja. Katika mfumo wabdemokrasia wanaofanya maamuzi ni wale walio wengi. Kwa msingi huo kama wananchi wanaona kuna haja ya mabadiliko wachague upinzani kwa serikali za mitaa madiwani na wabunge. wakifanya hivyo hayo yote yanayopigiwa kelele yanawezekana
Sasa wananchi si ndio walitoa maoni tume ya warioba ilete tume huru ila hakuna lililotokea maana watawala waliona ndio kifo chao

na hata walipopiga kura kuchagua upinzani matokeo yaligeuzwa ipo mifano mingi sana ya kata tulizoporwa 2015 ssa huoni maoni ya wananchi yanapuuzwa na yatashusha morale yao ya kupiga kura???

mabadiliko ni muhim tukisema ni ngumu wakati hatujaribu kuyatafuta yatatucost 2020 sio tu upinzani ila sisi wananchi tunaopanga foleni masaa 6 alafu tunayemchagua kwa wingi hatangazwi mshindi
 
Wanaoweza kufanya nabadiliko sio vyama vya siasa Bali in wapiga kura. Kama wapiga kura wanaona kuna dhuluma nchi hii watawachagua wapinzani katika kila nyanja. Katika mfumo wabdemokrasia wanaofanya maamuzi ni wale walio wengi. Kwa msingi huo kama wananchi wanaona kuna haja ya mabadiliko wachague upinzani kwa serikali za mitaa madiwani na wabunge. wakifanya hivyo hayo yote yanayopigiwa kelele yanawezekana

Kwa system gani??Hii ya Mtawala ndiyo anayepanga nani awe kiongozi??Mpaka sasa unajua zaidi ya Katambi kumi wagombea na mawakala wao wako either Mahabusu ya Polisi,Mahabusu ya UVCCM au Mahabusu ya JWTZ na hakuna hata kiongozi mmoja wa Tume ya Uchaguzi aliyekemea ili watolewe wao wako busy kusema kampanei zilikuwa Uhuru Uhuru huu ni uke wa wapinzani kupiga na kuumizwa,kunyimwa kufanya mikutano na kukamaywa kiholela huu ndiyo Uhuru tulio nao na haki ya kupiga kura tuliyo nayo.

Kama CCM haitaki Upinzani hakuna sababu ya kuita Uchaguzi. Mwenyekiti atoe order wachague watu wao period maisha yaendelee.Siyo kupiga au kuua watu kisa Uchaguzi
 
Kwa system gani??Hii ya Mtawala ndiyo anayepanga nani awe kiongozi??Mpaka sasa unajua zaidi ya Katambi kumi wagombea na mawakala wao wako either Mahabusu ya Polisi,Mahabusu ya UVCCM au Mahabusu ya JWTZ na hakuna hata kiongozi mmoja wa Tume ya Uchaguzi aliyekemea ili watolewe wao wako busy kusema kampanei zilikuwa Uhuru Uhuru huu ni uke wa wapinzani kupiga na kuumizwa,kunyimwa kufanya mikutano na kukamaywa kiholela huu ndiyo Uhuru tulio nao na haki ya kupiga kura tuliyo nayo.

Kama CCM haitaki Upinzani hakuna sababu ya kuita Uchaguzi. Mwenyekiti atoe order wachague watu wao period maisha yaendelee.Siyo kupiga au kuua watu kisa Uchaguzi
 
labda kama wewe na mama yako ndo mnapiga kura
Ukitaka kuwa na BUSARA jifunze kuwa na akiba ya MANENO....
Ukitaka kuwa MCHAMBUZI mzuri,jitahidi kujizuia USHABIKI....
kama umeshawahi kusoma commets zangu zingne 'Utajua ni jinsi kani ambavyo ningependa matokeo kinyume na aliyotangazwa'
 
Kwa system gani??Hii ya Mtawala ndiyo anayepanga nani awe kiongozi??Mpaka sasa unajua zaidi ya Katambi kumi wagombea na mawakala wao wako either Mahabusu ya Polisi,Mahabusu ya UVCCM au Mahabusu ya JWTZ na hakuna hata kiongozi mmoja wa Tume ya Uchaguzi aliyekemea ili watolewe wao wako busy kusema kampanei zilikuwa Uhuru Uhuru huu ni uke wa wapinzani kupiga na kuumizwa,kunyimwa kufanya mikutano na kukamaywa kiholela huu ndiyo Uhuru tulio nao na haki ya kupiga kura tuliyo nayo.

Kama CCM haitaki Upinzani hakuna sababu ya kuita Uchaguzi. Mwenyekiti atoe order wachague watu wao period maisha yaendelee.Siyo kupiga au kuua watu kisa Uchaguzi
Tetty mzima wa afya?
 
Back
Top Bottom