MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,745
- 48,375
Idadi kubwa ya mawaziri akiwemo makamu wa rais na wabunge wa mlengo wa serikali wamepoteza ubunge, Waganda wameamua, wamefanya aina ya maamuzi tuliyofanya zaidi ya miaka 20 iliyopita, ukombozi wa pili unawajia, tuendelee kuwaombea ili kama ikitendeka kweli, Museveni asigome kuachia. Upokwezaji uwe wa amani bila umwagikaji wa damu.
Angalau Afrika Mashariki tuwe na mataifa mawili yaliyokombolewa kutoka kwa mkoloni mweusi baada ya mababu zetu kumfukuza mkoloni mzungu.
Hii hata Museveni akigoma kuachia sijui atatawala vipi maana amepoteza wabunge hadi basi, na hapo ni baada ya kusindika kura balaa lakini Waganda wamemchoka mzee wa watu. Uzuri Waganda sio waoga, ikionekana wazi kwamba kaiba, lazima watajitokeza sema kule ni balaa maana Museveni hutumia jeshi la UPDF, ambao jukumu lao kikatiba ni kuilinda nchi dhidi ya wavamizi wa kutokea nje, sio kutumia vifaru kwa raia wake.
Mungu ibariki Afrika.
==========
Kampala. With voting still continuing in many parts of Uganda, Vice President Edward Kiwanuka Ssekandi became first casualties as 10 senior government officials fell by the wayside.
Kiwanuka, who has been the Vice President for the last two terms of President Yoweri Museveni’s presidency, was trounced by the National Unity Platform wave under Robert Kyangulani popularly known as Bobi Wine that swept central Uganda.
Trade Minister Amelia Chambade has also lost her seat in the hotly-contested parliamentary elections.
Cabinet Ministers Judith Nabakoba (ICT), Christom Muyingo (Higher Education), Erioda Tumwesingye (Science and Technology), Betty Kamya (Lands), Rosemary Sseninde (Primary Education), Isaac Musumba (Urban planning) and Florence Nachiwala (Youth Affairs) have all lost.
Government Chief Whip Nakabirwa Ruth has also been floored in the just-concluded elections.
Bobi Wine and his NUP party appear to be doing well in Central Uganda while President Museveni has held on to his Northern and Western strongholds.
Uganda’s President Yoweri Museveni took an early lead in the presidential election race, according to preliminary results released on Friday morning by the electoral commission.
His rival Bobi Wine, however, disputed the results, claiming there was widespread rigging and election irregularities in the polls.
Giants fall as vote counting continues in Uganda - The Citizen
Angalau Afrika Mashariki tuwe na mataifa mawili yaliyokombolewa kutoka kwa mkoloni mweusi baada ya mababu zetu kumfukuza mkoloni mzungu.
Hii hata Museveni akigoma kuachia sijui atatawala vipi maana amepoteza wabunge hadi basi, na hapo ni baada ya kusindika kura balaa lakini Waganda wamemchoka mzee wa watu. Uzuri Waganda sio waoga, ikionekana wazi kwamba kaiba, lazima watajitokeza sema kule ni balaa maana Museveni hutumia jeshi la UPDF, ambao jukumu lao kikatiba ni kuilinda nchi dhidi ya wavamizi wa kutokea nje, sio kutumia vifaru kwa raia wake.
Mungu ibariki Afrika.
==========
Kampala. With voting still continuing in many parts of Uganda, Vice President Edward Kiwanuka Ssekandi became first casualties as 10 senior government officials fell by the wayside.
Kiwanuka, who has been the Vice President for the last two terms of President Yoweri Museveni’s presidency, was trounced by the National Unity Platform wave under Robert Kyangulani popularly known as Bobi Wine that swept central Uganda.
Trade Minister Amelia Chambade has also lost her seat in the hotly-contested parliamentary elections.
Cabinet Ministers Judith Nabakoba (ICT), Christom Muyingo (Higher Education), Erioda Tumwesingye (Science and Technology), Betty Kamya (Lands), Rosemary Sseninde (Primary Education), Isaac Musumba (Urban planning) and Florence Nachiwala (Youth Affairs) have all lost.
Government Chief Whip Nakabirwa Ruth has also been floored in the just-concluded elections.
Bobi Wine and his NUP party appear to be doing well in Central Uganda while President Museveni has held on to his Northern and Western strongholds.
Uganda’s President Yoweri Museveni took an early lead in the presidential election race, according to preliminary results released on Friday morning by the electoral commission.
His rival Bobi Wine, however, disputed the results, claiming there was widespread rigging and election irregularities in the polls.
Giants fall as vote counting continues in Uganda - The Citizen