Ikumbukwe kabla na baada ya Uhuru Vatican ndio imesmama na Tanu na baadaye CCM
Vilikuwepo vyama vingi kabla ya uhuru vilivyopigania utawala wa kisiasa lakini Vatican ilichagua Tanu na ccm kwasababu zake sisi hatuzijui
Hawa Vatican hadi serkali ya china inawapigia magoti
Chama changu,chama cha Baba wa taifa hayati nyerere tusisahau sana tusije tukawa kama sudan, libya au DRC
Vatican ipo white house,ipo ikulu ya putin ipo hadi saud arabia
Tunamwomba aliyepewa urais kwa sababu ya msiba wa hayati,aongoze nchi kwa uwezo wake na sio kutegemea kila kitu kutoka msogani
Pia akumbuke Tanganyika haijawahi kutoweka ipo imara ,watanganyika wakiitaka Tanganyika yao haitachukua hata mwaka
Kuhusu bandari ya bwagamoyo wacha tutulie kwanza
Vilikuwepo vyama vingi kabla ya uhuru vilivyopigania utawala wa kisiasa lakini Vatican ilichagua Tanu na ccm kwasababu zake sisi hatuzijui
Hawa Vatican hadi serkali ya china inawapigia magoti
Chama changu,chama cha Baba wa taifa hayati nyerere tusisahau sana tusije tukawa kama sudan, libya au DRC
Vatican ipo white house,ipo ikulu ya putin ipo hadi saud arabia
Tunamwomba aliyepewa urais kwa sababu ya msiba wa hayati,aongoze nchi kwa uwezo wake na sio kutegemea kila kitu kutoka msogani
Pia akumbuke Tanganyika haijawahi kutoweka ipo imara ,watanganyika wakiitaka Tanganyika yao haitachukua hata mwaka
Kuhusu bandari ya bwagamoyo wacha tutulie kwanza