Kuna kila dalili Samia Suluhu atakuwa Rais wa muhula mmoja pekee, dalili hizo ni hizi...

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,779
18,746
Nnilikuwa najiuliza hili swali nikawa sina uhakika, ila kwa sasa kutokana na mambo yanavyoenda inaonekana wazi kuwa huyu mama atakuwa Rais kwa muhula mmoja tu.

Kwanza kabisa siasa sio Sayansi, haina exact jibu, upo upande ambao unaweza kutengeneza hoja Samia akawa rais wa vipindi viwili na pia upo upande unaweza kutengeneza hoja pia Samia akawa Rais wa muhula mmoja tu na waote wakaonekana sahahihi.

Samia Suluhu kama ana nafasi kubwa ya ku influence na kutengeneza hoja apewe mihula miwili lakini naona hilo ni ngumu kwa sababu hizi.

Kwanza Serikali yake bado inaitwa Serikali ya awamu ya tano, nikisikia wabunge na watu wengine wa siasa wakiongea bado wanaiita hii serikali ya awamu ya tano, hili halina jibu sahihi kama ni ya 5 au 6 lakini Samia anaweza ku influence ianze kuitwa awamu ya 6, kwa kuwa kuendelea kuitwa awamu ya 5 kunatengeneza picha kuwa anamalizia ngwe ya Magufuli na sio kuwa anaanza ya kwake.

Pili anaonekana hana ujasiri wa kulivunja baraza la mawaziri, japo kuna utata kuhusu katiba kama inataka ama haija lazimisha, lakini Samia ana discretion ya kuvunja baraza la mawaziri na ikajengwa hoja tu kuwa uamuzi wake ni sahihi, hii itamfanya aweke watu wake ambao ambao ni watiifu kwake na hata kama atabakisha wale wa Magufuli pia sio mbaya kwa kuwa pia anaendeleza miradi ya mtangulizi wake.

Tatu vyombo vya habari hasa TBC vinamfanya Samia aendelee kuwa kwenye kivuli ha Magufuli, TBC wao kutwa nzima, taarifa za habari kwa sasa ni Magufuli, hatukatai ni kuwa wanaomboleza lakini pia yapo mambo ya mama ambayo anayafanya yanatakiwa yapewe kipaumble na kuanza kupewa airtime, mfano ripoti ya CAG na maamuzi ya Samia aliyochukua yamepewa nafasi kidogo sana pale TBC, wao wanarudia hotuba za Magufuli tu, hawarudii kabisa hotub za Samia, sasa hili Rais mpya anatakiwa aliondoe endapo atataka awe rais wa mihula miwili na kuacha legacy yake na sio kuwa place holder president.

====================================================
edit
Mama kalivunja baraza la mawaziri leo na katamka rasmi kuwa hii ni awamu ya 6, so akimamaanisha kuwa hii ndio first term yake na hivyo ana nafasi kubwa ya kupiga 10
 
Duh mzee umekunywa chai, kweli? Mbona Kama umeandika hoja mfu hivi, japo kweli mwenye kuamua ni Mungu lakini hoja zao hizo hazina mashiko nachelea kuandika usahihi hapa maana pengine unaweza kuwa na upeo mdogo Kama tu umeshinda kujua kuwa now Taifa lipo katika Hali Gani na kwa nini media nyingi wanarusha hizo hotuba za Hayati.
 
Matukio mawili ndiyo yalikuwa yanadetermine future yake:

1. Uchaguzi wa VP(Ameshajichanganya).

2. Baraza la Mawaziri (Mtego mwingine huu).

Kingine kikubwa kuliko vyote, wanatakiwa waache kutembelea nyota ya JPM, mambo ya kusema "Tutaenzi na kuendeleza aliyoyaacha" hayafai na yanacompromise future yake.
 
Obviously, atakuwa Rais wa muhula mmoja.

Binafsi sina tatizo na mama huyu. Nina mwamini na kwamba ktk kipindi hiki kilichobaki atafanya vizuri na kurekebisha mengi yaliyoharibiwa na Mwendazake.

Ni kwa sababu pia, wanawake kote duniani waliowahi na wanaongoza mataifa yao, hawana historia ya uongozi wa kibabe na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Hopefully, Mungu kamleta kwa muda mfupi tu ili kupoza makovu na maumivu yaliyosababishwa na uongozi hatari wa mwendazake ambaye kama angeendelea kuwepo, angelipeleka shimoni taifa hili zuri.

However, sababu kuu zitakazomfanya awe Rais wa muhula mmoja si uwezo wake binafsi, la hasha bali ni;

å Tukumbuke kuwa ameukwaa Urais si kwa sababu nyingine yoyote isipokuwa kwa sbb ya takwa la kikatiba, kwamba, Rais kafa na yeye ni VP na katiba inasema yakitokea mazingira haya, basi VP moja kwa moja anaapishwa kuwa Rais. Ndiyo maana kulikuwa na struggle za chini chini za kutaka kumzuia asiwe Rais kwa baadhi ya wahafidhina kulitumia Jeshi litwae madaraka ya uongozi wa taifa hili.

å Hoja ya Utanganyika na Uzanzibari. Hii ndiyo ishu kubwa kabisa. Hata mimi nakataa kabisa Tanganyika kuwa na Rais Mzanzibari. Tunataka Rais wa JMT siku zote na mara zote awe ni Mtanganyika kwa sababu Tanganyika ndiyo JMT na JMT ndiyo Tanganyika...

Tanganyika haiwezi kutawaliwa/kuongozwa na Raia wa taifa jingine. Huu ni udhaifu mkubwa wa Muungano huu wenye utata mwanzo mwisho.

Hizi ndizo push factors zinazoweza kwa 100% kumfanya huyu mama amalizie hii miaka minne na kisha asirudi tena. Na ofcoz better iwe hivyo!
 
Lakini ukumbuke pia mwaka 2025 Mama Samia atakua ndiyo Mwenyekiti halali wa CCM.

Samia anapiga miaka 9 akiwa Rais iwapo Mungu atamjaalia Afya. Na vyombo vyetu vimeshasema vitamhami. Hakuna kiroboto

Kitakachothubutu kumpinga, labda akatae mwenyewe kama alivyowahi kufanya Sheikh Idris Abdul Wakil kule Visiwani.
 
Too early to Judge..
Mkuu, jamaa ana point ya msingi. Kama asipojijenga mapema na kuanza kuonyesha uwezo wake kwa kujifanyia mambo yake mwenyewe huko mbele itamuwia vigumu.

Hiki kitendo cha kuendelea kuwapiga chini Wafia chama na kubeba Wakuja lazima kitakuja kuwa mwiba huko mbeleni. Kuna kila possibility that 2025 kuna kundi litaibuka litadai kuwa yeye hakuwa chaguo la Chama bali Muendazake.

Kwa kutumia hiyo point, itabidi apambanishwe na wengine ila kama hili litatokea natabiri mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea CCM.
 
Una
nilikuwa najiuliza hili swali nikawa sina uhakika, ila kwa sasa kutokana na mambo yanavyoenda inaonekana wazi kuwa huyu mama atakuwa Rais kwa muhula mmoja tu

kwanza kabisa siasa sio Sayansi, haina exact jibu, upo upande ambao unaweza kutengeneza hoja Samia akawa rais wa vipindi viwili na pia upo upande unaweza kutengeneza hoja pia Samia akawa Rais wa muhula mmoja tu na waote wakaonekana sahahihi.

Samia Suluhu kama ana nafasi kubwa ya ku influence na kutengeneza hoja apewe mihula miwili lakini naona hilo ni ngumu kwa sababu hizi

Kwanza Serikali yake bado inaitwa Serikali ya awamu ya tano, nikisikia wabunge na watu wengine wa siasa wakiongea bado wanaiita hii serikali ya awamu ya tano, hili halina jibu sahihi kama ni ya 5 au 6 lakini Samia anaweza ku influence ianze kuitwa awamu ya 6, kwa kuwa kuendelea kuitwa awamu ya 5 kunatengeneza picha kuwa anamalizia ngwe ya Magufuli na sio kuwa anaanza ya kwake.

Pili anaonekana hana ujasiri wa kulivunja baraza la mawaziri, japo kuna utata kuhusu katiba kama inataka ama haija lazimisha, lakini Samia ana discretion ya kuvunja baraza la mawaziri na ikajengwa hoja tu kuwa uamuzi wake ni sahihi, hii itamfanya aweke watu wake ambao ambao ni watiifu kwake na hata kama atabakisha wale wa Magufuli pia sio mbaya kwa kuwa pia anaendeleza miradi ya mtangulizi wake

Tatu vyombo vya hbari hasa TBC vinamfanya Samia aendelee kuwa kwenye kivuli ha Magufuli, TBC wao kutwa nzima, taarifa za habari kwa sasa ni Magufuli, hatukatai ni kuwa wanaomboleza lakini pia yapo mambo ya mama ambayo anayafanya yanatakiwa yapewe kipaumble na kuanza kupewa airtime, mfano ripoti ya CAG na maamuzi ya Samia aliyochukua yamepewa nafasi kidogo sana pale TBC, wao wanarudia hotuba za Magufuli tu, hawarudii kabisa hotub za Samia, sasa hili Rais mpya anatakiwa aliondoe endapo atataka awe rais wa mihula miwili na kuacha legacy yake na sio kuwa place holder president
Unatulisha viporo. Na mbaya zaidi viporo vilivyochacha. Fanya ukazimue kama unasumbuliwa na mning'inio wa jana.
 
nilikuwa najiuliza hili swali nikawa sina uhakika, ila kwa sasa kutokana na mambo yanavyoenda inaonekana wazi kuwa huyu mama atakuwa Rais kwa muhula mmoja tu

kwanza kabisa siasa sio Sayansi, haina exact jibu, upo upande ambao unaweza kutengeneza hoja Samia akawa rais wa vipindi viwili na pia upo upande unaweza kutengeneza hoja pia Samia akawa Rais wa muhula mmoja tu na waote wakaonekana sahahihi.

Samia Suluhu kama ana nafasi kubwa ya ku influence na kutengeneza hoja apewe mihula miwili lakini naona hilo ni ngumu kwa sababu hizi

Kwanza Serikali yake bado inaitwa Serikali ya awamu ya tano, nikisikia wabunge na watu wengine wa siasa wakiongea bado wanaiita hii serikali ya awamu ya tano, hili halina jibu sahihi kama ni ya 5 au 6 lakini Samia anaweza ku influence ianze kuitwa awamu ya 6, kwa kuwa kuendelea kuitwa awamu ya 5 kunatengeneza picha kuwa anamalizia ngwe ya Magufuli na sio kuwa anaanza ya kwake.

Pili anaonekana hana ujasiri wa kulivunja baraza la mawaziri, japo kuna utata kuhusu katiba kama inataka ama haija lazimisha, lakini Samia ana discretion ya kuvunja baraza la mawaziri na ikajengwa hoja tu kuwa uamuzi wake ni sahihi, hii itamfanya aweke watu wake ambao ambao ni watiifu kwake na hata kama atabakisha wale wa Magufuli pia sio mbaya kwa kuwa pia anaendeleza miradi ya mtangulizi wake

Tatu vyombo vya hbari hasa TBC vinamfanya Samia aendelee kuwa kwenye kivuli ha Magufuli, TBC wao kutwa nzima, taarifa za habari kwa sasa ni Magufuli, hatukatai ni kuwa wanaomboleza lakini pia yapo mambo ya mama ambayo anayafanya yanatakiwa yapewe kipaumble na kuanza kupewa airtime, mfano ripoti ya CAG na maamuzi ya Samia aliyochukua yamepewa nafasi kidogo sana pale TBC, wao wanarudia hotuba za Magufuli tu, hawarudii kabisa hotub za Samia, sasa hili Rais mpya anatakiwa aliondoe endapo atataka awe rais wa mihula miwili na kuacha legacy yake na sio kuwa place holder president
Huyu mama kama anataka kujenga heshima apigwe miaka yake 4 akae pembeni
 
Mkuu, jamaa ana point ya msingi. Kama asipojijenga mapema na kuanza kuonyesha uwezo wake kwa kujifanyia mambo yake mwenyewe huko mbele itamuwia vigumu. Hiki kitendo cha kuendelea kuwapiga chini Wafia chama na kubeba Wakuja lazima kitakuja kuwa mwiba huko mbeleni. Kuna kila possibility that 2025 kuna kundi litaibuka litadai kuwa yeye hakuwa chaguo la Chama bali Muendazake. Kwa kutumia hiyo point, itabidi apambanishwe na wengine ..... Ila kama hili litatokea natabiri mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea CCM
Lazima aanze kuwateua akina January kama anataka kufika mbali
 
Matukio mawili ndiyo yalikuwa yanadetermine future yake:

1. Uchaguzi wa VP(Ameshajichanganya).

2. Baraza la Mawaziri (Mtego mwingine huu).

Kingine kikubwa kuliko vyote, wanatakiwa waache kutembelea nyota ya JPM, mambo ya kusema "Tutaenzi na kuendeleza aliyoyaacha" hayafai na yanacompromise future yake.
Aliyekwenda kaenda, waachane na hiyo hulka ya upuuzi wa kutaka kuenzi mwendazake, watu watawachoka na kuwaona hawafai, kiongozi yoyote, asiye na vision yake binafsi ni mfu.

Nimeona huyo VP mpya anasema wapinzani wajiunge na CCM, nikahisi mama Rais, kabugi kashaurika na kushawishika vibaya.
Kuna mambo mengi nchi hii ya kuzungumziwa, yaani Mpango anataka kutembelea mule mule mwa marehemu, anajimwambafayi kama mwendazake, na pia huko bungeni wapinzani ni wachache, sijui wapinzani wapi aliowazungumzia??

Labda kama ilikuwa strategic move kumtoa pale wizara nyeti ya fedha, ili aanze na waziri wake mwenye maono yatakayokuwa yanaendana na yeye kama raisi wake.
Bajeti itakayokuja itatupa maono yake.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Aliyekwenda kaenda, waachane na hiyo hulka ya upuuzi wa kutaka kuenzi mwendazake, watu watawachoka na kuwaona hawafai, kiongozi yoyote, asiye na vision yake binafsi ni mfu.
Nimeona huyo VP mpya anasema wapinzani wajiunge na CCM, nikahisi mama Rais, kabugi kashaurika na kushawishika vibaya.
Kuna mambo mengi nchi hii ya kuzungumziwa, yaani Mpango anataka kutembelea mule mule mwa marehemu, anajimwambafayi kama mwendazake, na pia huko bungeni wapinzani ni wachache, sijui wapinzani wapi aliowazungumzia??

Labda kama ilikuwa strategic move kumtoa pale wizara nyeti ya fedha, ili aanze na waziri wake mwenye maono yatakayokuwa yanaendana na yeye kama raisi wake.
Bajeti itakayokuja itatupa maono yake.

Everyday is Saturday............................... :cool:
Mpango hafai kuwa kiongozi hata kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom