Tall Guy fam
JF-Expert Member
- Jan 16, 2017
- 917
- 1,089
Desert Eagle hiyo mzee 😃Glock uirambe kindezi ndezi hivi?
Desert Eagle hiyo mzee 😃Glock uirambe kindezi ndezi hivi?
Ukishazalishwa ni nadra Sana kuolewa may be uwe ni binti mwenye pesa mingi au uliyetulia na Wana wakatambua umetulia na uonyeshe heshima Kwa Mme na sio kumvimbia....!! Wadada wengi waliozalishwa huwa na viburi na watoto wao huwa ndo kila kitu aisee hakuna mwanamme mwenye akili timamu anayeweza weka kambi hapo , ni kupiga na kusepa ..!!Atapigwa sana miti na kuzalishwa tu, kuolewa majaliwa tena.
Mimi namuona mzuri, hayo ya kiburi sijui.Huyo demu sio mzur hata ..!! Na anaonekana ana kiburi kinyama
Yeye kachuma vipi mali, kachumia kitandani?Rayvany
Sio kua hawezi kumove on, kinachomuuma ni yeye kuchuma mali na vanny alafu asizifaidi ndo maana analipambania sana kombe lake
Ukiwa naye mashauzi kama nini , ooh usinitishe , kama kuachana tunaachana Tu kila mtu njia yake, ukimwacha sasa kila sku kukulilia daah ..!!Wazungu wakiachwa utasikia tu "tumeachana"
Njoo kwa watanzania sasa akipata mpenzi mpya.
"ulinikuta nimeumizwa moyo na kifua, ukanijali na kunipenda, ukanipa heshima ninayostahili, na mpaka mama yangu anakupenda sana, wewe ndio kidume wa kweli, unapanda mnazi mara nyingi, nakupenda sana hubby wangu my love wangu"..
Wana mikwala.Ukiwa naye mashauzi kama nini , ooh usinitishe , kama kuachana tunaachana Tu kila mtu njia yake, ukimwacha sasa kila sku kukulilia daah ..!!
haka kademu kajinga tu, mie nipo hapa kanashindwa ni deeeep.. nikavute maghetoni.. ache kafe kizembe zembe wakati nipoGlock uirambe kindezi ndezi hivi?
Hao wanataka watu kama sie hapo, tusio kwenye screen ndio huwa wanatuliaUkiwa naye mashauzi kama nini , ooh usinitishe , kama kuachana tunaachana Tu kila mtu njia yake, ukimwacha sasa kila sku kukulilia daah ..!!
Kuzaliwa 1933 hiiMarehemu kazaliwa Tar 01/07 kafariki Tar 02/07.
Mkuu tia nyama kidogo hapo.
Anapenda showoff sasaFay bado mdogo na mzuri atapata mwanaume mwingine tu