Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili mwaka huu CCM inatoka madarakani

UKAWA ndio ilikuwa silaha pekee ya kupambana na CCM haya mengine ni ukuda tu. Kilichobaki wapambane tu mwakani waambulie hata ruzuku ya kulambia bia.
 
Kujiamini kwingi, kunaweza kuleta msiba mkubwa.
KANU imebaki historia,haotasimama kamwe kuwa tena chama cha ukombozi Kenya.
CCM imesha fika ukingoni, kama haikuondoshwa kwa Kura itaondoshwa na washika Bunduki.
Wengi wameshachoka na Taarab za Kusifi Mnooo kusiko na tija kwa raia wa kawaida.
Time will Tell
Washika bunduki!?, Unamaanisha vita au!?, Mkuu nadhani hauko sawa kiakili🤨🤨
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Mwaka 2015 husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Kumbuka hata humu JF hata leo ukiweka thread ya kuwapigisha kura kati ya Magu na Lissu au mtu mwingine yeyote CCM hufanya mawasiliano na moderators faster kuondosha thread hizo. Huo pia ni unafiki walionao CCM kwa sababu hawapendi kabisa kuoneshwa kuwa mgombea wao anazidiwa kwa kura. Kama nimeandika uwongo kwa hili basi mtu yeyote humu aanzish hiyo thread kama ataiona inadumu kwa hata saa moja tu.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye amelaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatakiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko Malawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja rahisi sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema upinzani tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM wakifanya kurudia ahadi ambayo wameshindwa kuitekeleza.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM imeanza kampeni na kujisema itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kwamba ccm ilishajifia mikononi mwa mzee Kikwete, ndio maana waliweka mtu mpya ambae hakutarajiwa miongoni mwa wale waliokuwa wakitajwa tajwa. Chama kimebaki jina na maamuzi ya mtu mmoja kutegemea na namna atakavyo amka. Ili isionekane kuna migogoro ndani ya chama kwa mtu mmoja kuhodhi mamlaka kamili, wameamua kutengeneza matukio kuzima migogoro halisi isionekane nje ya chama. Ni bahati mbaya sana tulio wengi hatulioni hilo tunafuata mkumbo. Mh Juma Shamhuna katika hafla moja aliyoalikwa aliwahi kusema, namnukulu "sio kila ngoma mtu unatakiwa kuingia na kucheza, kwa sababu ngoma nyingine ni za kichawi". Kwa sanduku la kura ccm ilishakufa, kilichobaki sasa hivi nikuchezeshana ngoma za kichawi tu na yeyote anaweza kutolewa kafara.
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Mwaka 2015 husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Kumbuka hata humu JF hata leo ukiweka thread ya kuwapigisha kura kati ya Magu na Lissu au mtu mwingine yeyote CCM hufanya mawasiliano na moderators faster kuondosha thread hizo. Huo pia ni unafiki walionao CCM kwa sababu hawapendi kabisa kuoneshwa kuwa mgombea wao anazidiwa kwa kura. Kama nimeandika uwongo kwa hili basi mtu yeyote humu aanzish hiyo thread kama ataiona inadumu kwa hata saa moja tu.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye amelaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatakiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko Malawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja rahisi sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema upinzani tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM wakifanya kurudia ahadi ambayo wameshindwa kuitekeleza.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM imeanza kampeni na kujisema itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
Mkuu CCM ya sasa ni Strong kushinda CCM yeyote toka mwaka 1977. Sasa ni rasmi CCM imerudi kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi. Mwenyekiti Magufuli amefanya kazi kubwa sana kurudisha heshima ya chama hiki. Sitegemei kwasasa kama Tanzania kuna chama cha upinzani kinaweza kushika dola.
 
CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.
Mkuu, umeandika bandiko refu lenye aina fulani ya ukweli ndani yake, lakini pia unasahau baadhi ya mambo muhimu yanayofanya bandiko likose uaminifu.

Hao wanafiki waliomo CCM ikianguka watakula wapi?
Ungeeleza kuwa kuna maandalizi ya ndani kwa ndani ya CCM ili wanyukane na kumwondoa huyu wasiyemtaka, hapo kidogo ungeonekana kuwa mkweli kidogo.

Lakini utegemee mtu yeyote ndani ya CCM afanye juhudi za kusaidia upinzani ushinde? Hili linatakiwa kujengewa hoja nyingine mbali ya hii uliyoiweka hapa.

Wanafiki wa CCM wataumia humo humo, ndani kwa ndani ili mradi matumbo yao yajae.
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Mwaka 2015 husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Kumbuka hata humu JF hata leo ukiweka thread ya kuwapigisha kura kati ya Magu na Lissu au mtu mwingine yeyote CCM hufanya mawasiliano na moderators faster kuondosha thread hizo. Huo pia ni unafiki walionao CCM kwa sababu hawapendi kabisa kuoneshwa kuwa mgombea wao anazidiwa kwa kura. Kama nimeandika uwongo kwa hili basi mtu yeyote humu aanzish hiyo thread kama ataiona inadumu kwa hata saa moja tu.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye amelaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatakiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko Malawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja rahisi sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema upinzani tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM wakifanya kurudia ahadi ambayo wameshindwa kuitekeleza.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM imeanza kampeni na kujisema itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
Kweli wewe upo Tila lila.
 
Ccm ilikiuka zindiko sababu ya corona mwenge haukukimbizwa ili kupumbaza akili za watz, thus mwamko Ni Mkubwa sana
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Mwaka 2015 husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Kumbuka hata humu JF hata leo ukiweka thread ya kuwapigisha kura kati ya Magu na Lissu au mtu mwingine yeyote CCM hufanya mawasiliano na moderators faster kuondosha thread hizo. Huo pia ni unafiki walionao CCM kwa sababu hawapendi kabisa kuoneshwa kuwa mgombea wao anazidiwa kwa kura. Kama nimeandika uwongo kwa hili basi mtu yeyote humu aanzish hiyo thread kama ataiona inadumu kwa hata saa moja tu.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye amelaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatakiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko Malawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja rahisi sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema upinzani tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM wakifanya kurudia ahadi ambayo wameshindwa kuitekeleza.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM imeanza kampeni na kujisema itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!

Uliyoyaandika yameanza kudhihirika. CCM ijiandae kukabidhi Ikulu.
 
Ni kweli watanzania ni wanafiki sana hilo halina ubishi...ukiwekwa uzi wa CCM na raisi wake hapa jf karibia yote itaponda sana...ukienda youtube ukute raisi anazindua kitu utakutana na comment zaidi ya laki kadhaa zote zikiwa zinamsifia raisi na jitihada zake..sasa mpaka mtu unajiuliza wanaoponda humu jf wanatoka nchi gani?? Lakini pia hata mtaan kwnye maisha ya kawaida sijawah kuskia mtu anambeza mwnye nchi lakn ukija humu jf unaweza ukahisi taifa zima linamchukia!! Lakn kiuhalisia hata ukipita sehem yeyote ambayo kuna mradi unaendelea utaskia watu wanavyoshusha mapambio ya kusifu mwnye nchi na sio serikali yake!! Lakn la mwisho kwa watu wanaoongoza kwa unafiki mie nikiri ni upinzani yaan katika kipindi ambacho nilishangaa ni kile cha lowasa na kile cha kumuita mh rais mzee kikwete dhaifu na mtu anaesafirisafiri...akaja jamaa hasafiri na ni mkali kwlkwl bado mnalalamika...nanukuu hotuba ya kikwete akisema "mie mlisema ni mpole ila huyu ni mkali" , mpka leo sijajuaga wapinzani wanamtaka mtu wa namna gani
Wanafiki utawaweza?humu ukanda hasa ileee kaskazi umejaa sana.
 
Mkuu, umeandika bandiko refu lenye aina fulani ya ukweli ndani yake, lakini pia unasahau baadhi ya mambo muhimu yanayofanya bandiko likose uaminifu.

Hao wanafiki waliomo CCM ikianguka watakula wapi?
Ungeeleza kuwa kuna maandalizi ya ndani kwa ndani ya CCM ili wanyukane na kumwondoa huyu wasiyemtaka, hapo kidogo ungeonekana kuwa mkweli kidogo.

Lakini utegemee mtu yeyote ndani ya CCM afanye juhudi za kusaidia upinzani ushinde? Hili linatakiwa kujengewa hoja nyingine mbali ya hii uliyoiweka hapa.

Wanafiki wa CCM wataumia humo humo, ndani kwa ndani ili mradi matumbo yao yajae.
Katiba katiba katiba, NEC, NEC, NEC
 
Ccm ilikiuka zindiko sababu ya corona mwenge haukukimbizwa ili kupumbaza akili za watz, thus mwamko Ni Mkubwa sana
Kwa hiyo wewe huelewi sababu ya kuzuia mbio za mwenge ni kuepuka misongamano eti?je wewe akili yako pia ilipumbazwa na mwenge?
 
Kumbukumbu zangu zinanionyesha kwamba ccm ilishajifia mikononi mwa mzee Kikwete, ndio maana waliweka mtu mpya ambae hakutarajiwa miongoni mwa wale waliokuwa wakitajwa tajwa. Chama kimebaki jina na maamuzi ya mtu mmoja kutegemea na namna atakavyo amka. Ili isionekane kuna migogoro ndani ya chama kwa mtu mmoja kuhodhi mamlaka kamili, wameamua kutengeneza matukio kuzima migogoro halisi isionekane nje ya chama. Ni bahati mbaya sana tulio wengi hatulioni hilo tunafuata mkumbo. Mh Juma Shamhuna katika hafla moja aliyoalikwa aliwahi kusema, namnukulu "sio kila ngoma mtu unatakiwa kuingia na kucheza, kwa sababu ngoma nyingine ni za kichawi". Kwa sanduku la kura ccm ilishakufa, kilichobaki sasa hivi nikuchezeshana ngoma za kichawi tu na yeyote anaweza kutolewa kafara.

Kichekeso, muono ulio tetereka.
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Mwaka 2015 husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Kumbuka hata humu JF hata leo ukiweka thread ya kuwapigisha kura kati ya Magu na Lissu au mtu mwingine yeyote CCM hufanya mawasiliano na moderators faster kuondosha thread hizo. Huo pia ni unafiki walionao CCM kwa sababu hawapendi kabisa kuoneshwa kuwa mgombea wao anazidiwa kwa kura. Kama nimeandika uwongo kwa hili basi mtu yeyote humu aanzish hiyo thread kama ataiona inadumu kwa hata saa moja tu.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye amelaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatakiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko Malawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja rahisi sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema upinzani tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM wakifanya kurudia ahadi ambayo wameshindwa kuitekeleza.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM imeanza kampeni na kujisema itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
NDOTO ZA MCHANA SAA SITA. ENDELEA KUJIFURAHISHA. KWA KAZI ALIYOFANYA JPJM NI WAZI KABISA ATASHINDA KWA KISHINDO. HATA MEDIA ZA ULAYA ZIMETABIRI ATASHINDA KWA ZAIDI YA 80%. ILA NAJUA MTASEMA MMEIBIWA KURA MAANA MNAFIKIRI WATANZANIA HAWANA AKILI YA KUONA UONGO WENU, ETI MIRADI YA UMEME, SGR, BARABARA, NK HAIMWENDELEZI MTU!!!!!!! KWELI??JAMANI TUNA AKILI ZETU HATUDANGANYIKI.
 
NDOTO ZA MCHANA SAA SITA. ENDELEA KUJIFURAHISHA. KWA KAZI ALIYOFANYA JPJM NI WAZI KABISA ATASHINDA KWA KISHINDO. HATA MEDIA ZA ULAYA ZIMETABIRI ATASHINDA KWA ZAIDI YA 80%. ILA NAJUA MTASEMA MMEIBIWA KURA MAANA MNAFIKIRI WATANZANIA HAWANA AKILI YA KUONA UONGO WENU, ETI MIRADI YA UMEME, SGR, BARABARA, NK HAIMWENDELEZI MTU!!!!!!! KWELI??JAMANI TUNA AKILI ZETU HATUDANGANYIKI.
Angekuwa amefanya makubwa ungeandika kwa herufi ndogo Ila kwa vile hajafanya kitu unatulazimisha
 
NDOTO ZA MCHANA SAA SITA. ENDELEA KUJIFURAHISHA. KWA KAZI ALIYOFANYA JPJM NI WAZI KABISA ATASHINDA KWA KISHINDO. HATA MEDIA ZA ULAYA ZIMETABIRI ATASHINDA KWA ZAIDI YA 80%. ILA NAJUA MTASEMA MMEIBIWA KURA MAANA MNAFIKIRI WATANZANIA HAWANA AKILI YA KUONA UONGO WENU, ETI MIRADI YA UMEME, SGR, BARABARA, NK HAIMWENDELEZI MTU!!!!!!! KWELI??JAMANI TUNA AKILI ZETU HATUDANGANYIKI.
Ata makonda mlisema ivi ivi tu.
 
Back
Top Bottom