Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili mwaka huu CCM inatoka madarakani

Ni kweli watanzania ni wanafiki sana hilo halina ubishi...ukiwekwa uzi wa CCM na raisi wake hapa jf karibia yote itaponda sana...ukienda youtube ukute raisi anazindua kitu utakutana na comment zaidi ya laki kadhaa zote zikiwa zinamsifia raisi na jitihada zake..sasa mpaka mtu unajiuliza wanaoponda humu jf wanatoka nchi gani?? Lakini pia hata mtaan kwnye maisha ya kawaida sijawah kuskia mtu anambeza mwnye nchi lakn ukija humu jf unaweza ukahisi taifa zima linamchukia!! Lakn kiuhalisia hata ukipita sehem yeyote ambayo kuna mradi unaendelea utaskia watu wanavyoshusha mapambio ya kusifu mwnye nchi na sio serikali yake!! Lakn la mwisho kwa watu wanaoongoza kwa unafiki mie nikiri ni upinzani yaan katika kipindi ambacho nilishangaa ni kile cha lowasa na kile cha kumuita mh rais mzee kikwete dhaifu na mtu anaesafirisafiri...akaja jamaa hasafiri na ni mkali kwlkwl bado mnalalamika...nanukuu hotuba ya kikwete akisema "mie mlisema ni mpole ila huyu ni mkali" , mpka leo sijajuaga wapinzani wanamtaka mtu wa namna gani
 
Yaani hata kuchangia mada yako ni ngumu kwani hata hao Chadema hawakuelewi wanaogopa kusema hayo maneno na nadhani uliposema upo Dodoma au upo Milembe hapo dodoma. Najua madaktari watafanya kazi kukusaidia utapona tu ndugu
Bora uwashe zako tv uangalie katoon
 
Wengi hawaamini hili na hawajui litatokea vipi lakini subirini tu mtaona.
fazili
It is true.

Linaloonekana machoni kwa binadamu kuwa ni "impossible" kwa Mungu linawezekana kwa urahisi sana................

Ni nani alijua kama Rais wa Malawi ataondoka madarakani pamoja na vifaru na magari ya washawasha yaliyomzunguka?

Ndiyo tujifunze somo zuri sana hapo, kuwa hatuna sababu za "kujimwambafai"
 
CCM = Chama Chenye Madaraka, kwa mfumo wa sasa hakuna wakuipokonya CCM madaraka.
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye ameslaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatkiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko MAlawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja Rais sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema CCM tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
Nitachinja na
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye ameslaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatkiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko MAlawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja Rais sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema CCM tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
Kunywa maji basi.
Unaongea weeee huchoki.
 
Inaonekana umeandika hisia zako zaidi kuliko ukweli ungeijua ccm usingezungumzia kina kabudi kuwa rais ccm hata kama hawampendi rais humwacha amalize kipindi chake baada ya hapo ngoma inaanza magufuli asitegemee ataacha mrithi wa mayakwa yake
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye ameslaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatkiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko MAlawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja Rais sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema CCM tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
Huu ni uchambuzi uchwara.
 
Mmh ngoja tuone ila nina amini ndani ya CCM kuna wengi wasiomkubali ila kila mmoja anaogopa kupoteza ugali wake na nina amini Nape,January na wengineo waliokua kinyume nae watakatwa mchana kweupee.
 
Kitendo cha kututajia kuwa;
Dotto James atakuwa waziri, Kalemani atakuwa Waziri Mkuu na Prof. Kabudi atakuwa rais tiyari nishaona taarifa za uongo.
Ngoja niendelee kuamini kuwa CCM ni watu wa siri mpaka sasa. Nani alijua Lowassa atatemwa? Nani alijua Magufuli ndiye atagombea? Nani alijua kuwa Lowassa atarudi CCM? Nani alijua Dr. Slaa atahama CHADEMA na kujiunga CCM kuwa balozi? Nani alijua kwamba Membe atafukuzwa namna ile?

Hata hili la kutoa fomu moja tu ya kugombe hatukulijua kabisa, lilitokea kwa kushtukiza. Kama hayo tu yalitushinda, tutawezaje kujua rais anayefata baada ya Magufuli.
 
Unapoishi Tanzania unatakiwa kuwa makini sana, maana nchi hii nahisi huenda zaidi ya 99% ya raia wake ni wanafiki wa kiwango cha PhD. Hapa kwetu unafiki ni ibada.......
 
Wananchi wetu ni wanafiki sana. WanaCCM ni wanafiki zaidi. Yaani ukiangalia tu watu wanavyoshangilia kwenye Mikutano ya CCM - watu wamechoka yaani wanalazimisha hivi. Clip zilizotoka na hata leo kwenye lile tukio la Mgombea wao kurudisha fomu chamani hakukuwa kabisa na nyuso zenye furaha. Viongozi waliopewa nafasi kutoa neno asilimia 30 tu ndiyo waliongea kwa kujiamini na kwa kufuata utamaduni wa kichama. Wengine wote walikuwa bariiiidiiiiii. Kumbuka kuwa Magu hujifanya hataki mbwe-mbwe lakini anazipenda sana mbwe mbwe na ndiyo maana kuna matukioa anapiga push -up, anapiga ngoma, anaimba, nk. Husemwa kuwa alienda kuchukua fomu ya Urais bila mbwe mbwe - hiyo ni kweli kwa sababu hakutarajia kuwa angeshinda na ndiyo maana lile tukio alienda kinyonge kati ya wababe.

Juzi juzi pia kwenye kikao chao cha Kamati Kuu Katibu Mkuu wao ndiyo alionekana kujichezesha zaidi ili kuwachangamsha wajumbe lakini wajumbe walikuwa wanaimba kufuatilia wimbo uliokuwa ukichezwa kwenye system hukuwakiwa hawana furaha kabisa na mwishowe walimcheka Dr Bashiru alipokuwa akiruka ruka kumfurahisha Magu.

Sasa ukiangalia sasa chamani, Magu anataka wagombea wale wanyonge wanyonge ambao hawawezi kuja kumpinga ili ahata atapotoka madarakani aweke watu wake kama kina Doto James - ambaye inasemekana atateuliwa kuwa Waziri awamu ijayo kwa sababu ya fedha amabazo ameshazitenga kufanikisha ushindi mwaka huu. Kalemani ameahidiwa Uwaziri Mkuu na Kabudi kishaambiwa atakuwa Rais.

CCM inaenda kushindwa kwa sababu watu wana machungu ya ndani kwa ndani. Ninaandika hivi nikiwa Dodoma kwani mimi ni kiongozi pia ndani ya CCM na tangu juzi nimekutana na Wenyeviti wa CCM zaidi ya kumi. Ninawahakikishia kwa pembeni hawa watu wanamsema vibaya sana sana Mkulu. sitaki kuwataja hao wenyeviti wa CCM ili nisiwagombanishe lakini ukweli wanaCCM wanagugumia machunu sana mioyoni mwao. Hali wala sio shwari kama ambavyo inafikirika. Pamoja na kupewa kiasi cha fedha hao viongozi hawana furaha kabisa.

Wengi wanaponda sana utaratibu wa kuzuia baadhi ya watu wasiogombee na pia hawana furaha kutoka ana wavamizi wa kutoka vyama vya upinzani kuhakikishiwa nafasi ya kugombea na kupewa ushindi wa kibabe. Kuna kikao kimejadili namna ubabe utavyotumika kwenye Uchaguzi na kuna kiongozi ambaye ameslaumiwa kuwasiliana na upinzani na kueleza kila kitu kwa ajili ya kuwaandaa kupokea mafuriko kutoka CCM. Kuna watu hawatkiwa kabisa kugombea ambao mojawapo ni Nape na Januari. Kuna watu ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa sababu wanawasiliana na kwa karibu na Membe.

Kama jana kuna wanaCCM wamesema kuna hatari chuki kubwa imeshajengwa miongon mwa watawala hawa na upinzani na hivyo upinzania ukishinda viongozi hawa watakuwa mashakani kwani mfano mzuri tayari umeonakena huko MAlawi baada ya Rais wa sasa kuondosha kinga ya kuwashatki watangulizi wake.

CCM wenyewe wanakiri kuwa sera ya kujinadi kuwa wamejenga mamiundo mbinu na kununua midege ni sera inayopingwa kwa hoja Rais sana sana kwa sababu hayo mamiundombinu hayana impact yeyote kwa wananchi wa kawaida. Jambo ambapo limefanywa na utawala huu ambalo linawasaidia kwenye Kampeni ni lile tu la kuondosha karo za shule za msingi hadi sekondari. Wengine wanaongea zaidi kuwa upinzani ukiahidi kuondosha karo hizo hadi shule za sekondari za juu na pia kutangaza kupunguza makato kwa ajili ya bodi ya mikopo na kuwasaidia punguzo wakulima kwa pembejeo za kilimo na kuwakopesha wakiwa wamesaidiwa "subsidies" karibu na bure itawaondoa CCM madarakani. CCM kwa sasa hawawezi kurudia ahadi zile zile wakaeleweka, mfano ahadi ya kutoa milioni hamsini kila kijiji iliwasaidia sana kupata ushindi mwaka 2015. Upinzani wakisema wakiahidi wao na wakasema CCM tutatekeleza ahadhi hiyo kwa vitendo wataeleweka kwa urahisi kuliko CCM.

Lakini pia upinzani unaendelea kufuatilia kwa karibu kampeni ambazo CCM imeshaanza kuzifanya na kuna watu wanakusanya Ushahidi ambao utatumika wakati wa kupinga matokeo ya Uchaguzi iwapo CCM itashinda. Kuna matukio ya wazi ambayo yanaonesha kuwa CCM itashinda yanarekodiwa kwa umakini na yanatunzwa ili yaje yatumike. Wapinzani kwa kujua kuwa media kama TV na redio zimewageuka wanatumia sana online tv na makundi ya wahatsapp kujitangaza na ambayo kwa sasa yana athari kubwa zaidi kuliko TV na redio kwani wananchi wanasikiliza mahali popote. Mfano mzuri ni wale wasanii waliochukua maneno ya Bwege na kuyatengenezea muziki. Clips za hivyo zinahamasisha na kuleta hisia zaidi kuliko zile nyimbo za CCM zinazoonesha kuchokwa.

Sijui CCM wafanye nini kuwabadilisha wanachama wao na wananchi kwa ujumla, kwani watu hao hao wanatumika ndani ya CCM na ndiyo wanaotumika kwenye upinzani. Sitaki kuwataja lakini nina majina ya wapiga kura zaidi ya ishirini ambao watatumika kuwapitishwa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya CCM na pia hao hao wana kadi za Act Wazalendo na CHADEMA na watatumika huko pia. Ni suala la muda tu na nani atawakosha zaidi wapiga kura. CCM sidhani kama itatoboa! Tusubiri tu muda umebaki kidogo sana!
wahi MILEMBE ukatibiwe
 
Mmh ngoja tuone ila nina amini ndani ya CCM kuna wengi wasiomkubali ila kila mmoja anaogopa kupoteza ugali wake na nina amini Nape,January na wengineo waliokua kinyume nae watakatwa mchana kweupee.
Term ya pili ndio watu huonyesha rangi zao halisi
 
Back
Top Bottom