alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kwa inavyoelekea Masele hana chake tena pale!
Dogo kwa nguvu za Wakubwa anaelekea kuwa Mwakilishi wa Wananchi wa Jimbo lile.Katika viunga vya Shy town Jina Masele hawataki hata kulisikia na upepo mwanana umemwelekea bwana mdogo.
Juzi alifanya ziara na kutambulishwa rasmi kwa Wazee kuwa Yeye ndiye chaguo la....
Hongera Katambi!
Dogo kwa nguvu za Wakubwa anaelekea kuwa Mwakilishi wa Wananchi wa Jimbo lile.Katika viunga vya Shy town Jina Masele hawataki hata kulisikia na upepo mwanana umemwelekea bwana mdogo.
Juzi alifanya ziara na kutambulishwa rasmi kwa Wazee kuwa Yeye ndiye chaguo la....
Hongera Katambi!