Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,466
- 2,642
Wasalam,
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.