Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
Pia umee epukana na mapepoAliyekudanganya kuwa mchepuko ni mali ya Me mmoja ni nani?
Yani pepo mahaba akishapata chimbo anawapotezea mida sana watu
USHUHUDA:
Mwaka wa 4 huu sijui nini maana ya mchepuko, na nimesevu uchumi mkubwa pia nimeepukana na mikosi isiyo na ulazima.
YESU NDIYE BWANA.
Ktk ubora wako! Yesu ni Bwana