Kuna kampeni maalum ya kuwageuza wanawake wote kuwa makahaba

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,090
Siku za karibuni kumeibuka kampeni isiyo rasmi inayoelekea kuwageuza wanawake wote wasio na upeo wa kuelewa mambo kuwa makahaba. Siku hizi imekuwa kawaida kukuta mijadala ya kuaminisha wanawake kwamba lazima upewe pesa na mwanaume kama anataka mahusiano na wewe. Zamani ilikuwa Kwa wapenzi lakini sasa hivi kampeni hii imeingia mpaka kwenye ndoa na ndio chanzo kikubwa Cha ndoa nyingi kuvunjika siku hizi.

Bahati mbaya ni kwamba kampeni hii sasa imewaingiza kwenye mkumbo mpaka viongozi wa dini, viongozi wa serikali na achilia mbali wanaharakati na wale guru wa tabia za namna hiyo. Pia inapewa chapuo na wanaume ambao wanatumia fedha kuharibu mahusiano ya watu wengine.

Mi naamini hasa kwenye ndoa jukumu la kuhakikisha familia inapata mahitaji ni la mwanaume na jukumu la kulea familia ni la mwanamke. Sasa ikifika hatua ya mwanamke kuhisi lazima alipwe ili kufanya jukumu lake Hali itakuwa mbaya sana.

Huku kwenye mahusiano Hali ni mbaya zaidi maana siku hizi baba wa mabinti wanadhalilika Kwa (kutaka kwao) kwasababu kama jukumu la kulea watoto wao hasa wa kike ni la kwao mpaka wanapoolewa, lakini siku hizi jukumu Hilo wanapewa ma boyfriend na mababa wapo wanachekelea. Ndio maana siku hizi ni kawaida kukuta Binti ana msururu wa wanaume.

Anyway hayo mengine hayanihusu ila hofu yangu ni kwamba hiki kizazi Cha makahaba tunachokitengeneza matokeo yake hayatatufurahisha siku za usoni kama tusiposhituka mapema.
 
Shetani Yuko kazin ,ndio maana anafanya Vijana wasioe, na Wanawake waangalie pesa baada ya pesa

Ulichosema ni kweli, Siku hizi Wanawake wametupunguzia suala la kutongoza , now days

Unaulizwa tu..."Unaitaka???......... Una shilingi ngapi?

Sisi wakati tunakua, Ilikua ukimuona sistaduu chupi alovaa Kwa bahati mbaya, yaaan fulu shangwe ,siku hiyo hulali kudadeki !!

1650724981573.jpg
1650724993402.jpg
1650725067624.jpg
 
Mtoto wa kike akishaanza kuendekeza hela, kuna hatihati ya kuchezewa sana kabla ya kuja settle
Na wengi wao wanaishia kuchezewa tu hawaolewi kwani wanaume wanaambiana kuwa huyu uliyenaye alikuwa na maisha ya kichangu huko nyuma. HAKUNA mwanamme anayejitambua anataka kuwa na mahusiano na changu hata siku moja, mtabaki kuchezewa tu mpaka mnalia na kulalamika kiła siku.
 
Inaskitsha sanaaa; mwanamke mmoja unamkuta ana wa nywele, wa kucha, wa nguo za ndan na za nje, wa kodi, wa kumpeleka hos akiumwa, wa kumpeleka akale bata, wa kumpa pesa za kuwatumia wazaz wake.....

Tamaa mbele mauti nyuma, hii n kutokana na watu wengi kuwa tegemezi na kutokupenda kufanya kazi. Wameishia kutumia miili yao kama kitega uchumi, asee! Na s kwa wanawake tu kuna wanaume nao kaz yao n moja tu kuwardhisha wamama watu wazima( na wadada wenye kujiweza kiuchumi) ili wapate pesa, mwanaume naye anatumia mwli wake kama kitegauchumi.

Watu hawataki kujituma kufanya kaz halali, wameona wajiuze tu hakuna jinsi.😔😔😔
 
Na waliostaafu ukahaba vipi wanaweza kurudi hata kwa mkataba?

Kahaba ni kahaba tuu. Ni Kama shoga.
Akistaafu yeye watoto watarithi. Hivyo Kama utamuoa kahaba ni Kheri usizae naye, yaani awe mshirika wa kuzeeshana tuu.

Ukahaba na Ushoga ni laana inayoathiri vizazi.
Ni Kama Pepo mbaya akiiandama familia.

Mwanamke timamu aliyefunzwa kamwe hawezi kuwa Kahaba Kama ilivyo Kwa Kwa mwanaume aliyefunzwa hawezi kuwa shoga.

Mapepo ndio huwageuza Dada na vijan wetu kuwa Watumwa wa materials na kujivua utu wao.

Embu fikiria mwanamke anauza utu wake Kwa Tsh 500,000/= hiyo na kusababisha kizazi chake kuharibika Kwa tamaa za kijinga
 
Na s kwa wanawake tu kuna wanaume nao kaz yao n moja tu kuwardhisha wamama watu wazima( na wadada wenye kujiweza kiuchumi) ili wapate pesa, mwanaume naye anatumia mwli wake kama kitegauchumi.
Dah!! Hii inaweza kuwa fursa! Kumbe nasi tuna mahali pa kutobolea? Ongeza details mkuu tujue tunawapata vipi!!

Natania tu
 
Kahaba ni kahaba tuu. Ni Kama shoga.
Akistaafu yeye watoto watarithi. Hivyo Kama utamuoa kahaba ni Kheri usizae naye, yaani awe mshirika wa kuzeeshana tuu.

Ukahaba na Ushoga ni laana inayoathiri vizazi.
Ni Kama Pepo mbaya akiiandama familia.

Mwanamke timamu aliyefunzwa kamwe hawezi kuwa Kahaba Kama ilivyo Kwa Kwa mwanaume aliyefunzwa hawezi kuwa shoga.

Mapepo ndio huwageuza Dada na vijan wetu kuwa Watumwa wa materials na kujivua utu wao.

Embu fikiria mwanamke anauza utu wake Kwa Tsh 500,000/= hiyo na kusababisha kizazi chake kuharibika Kwa tamaa za kijinga
Umekandia sana, Kwanza ukahaba ndo ukoje? Yani mpaka ukaitwe ukahaba inakuwaje?
 
Umekandia sana, Kwanza ukahaba ndo ukoje? Yani mpaka ukaitwe ukahaba inakuwaje?

Wala sijakandia.

Ukahaba ni kitendo cha Mwanamke kuuza utu wake Kwa ajili ya pesa.
Kuna ukahaba wa Mona Kwa Moja(Direct) na kuna ule usio wa Moja Kwa Moja, indirect.

Ukiona upo kwenye mahusiano na Mwanaume Kwa sababu ya pesa zake, ujue upo kundi la kahaba. Achilia Mbali Wale wa kwenye madanguro, casino, barabarani n.k
 
Back
Top Bottom