neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 357
- 309
Ok sawa mremboMfanyabiashara nauza bidhaa hizi za culture hadi tunadesign nguo mbali mbali za harusi sendoff na za mtoko pia
Ok sawa mremboMfanyabiashara nauza bidhaa hizi za culture hadi tunadesign nguo mbali mbali za harusi sendoff na za mtoko pia
daah nmecheka mkuu umetisha mnoUsikute mtu ndo macho yake yalivyo.
Wewe Tu na mapepe yako ukaona ushapendwa.
Anyway kama Una namba yake si uwe tu unamsalimia asubuhi na kumpa good night kila siku ...kwa wiki moja asipo react basi hakutaki au gay...
OkeyOk sawa mrembo
Hahahah hawez ruka mwamba ni Domozege pro maana hajafikia Max ila pia demu mshamba nae!
Jamaa anatamani demu ajiongeze yeye kabaki kutumbua macho kama mjusi gegedu hajui nini cha kufanya!
Demu nae mshamba wa mapenzi wote wamekutana Amatuers tu wanaogopana ila kwa ilipofikia hatua stahiki zisipochukuliwa tutahitaji katiba mpya😅😅😅
[/QUOT
Nataka anianzee yeye
Mwenyewe nina mpango wa kusafiri december naomba unishuhulikieMfanyabiashara nauza bidhaa hizi za culture hadi tunadesign nguo mbali mbali za harusi sendoff na za mtoko pia
Hiyo situesheni kwa vijana wadogo ni ngumu sana, mdomo ukishakwama inakuwa ni kama mwamba hapa unawaza unaanzaje anzaje kupata hiyo sufuria🤣👇Huyo muoga hawezi kukuanza ataendelea kukushangaa tu naijua hio sitaution nilikuwa nayo miaka yangu ya ujanani😂! Demu pisi naujasiri wa kumsmile na kumsalimia ila kuyasema ya moyoni siwezi hata nijikazeje. Naweza nikamchekesha all the way from skonga tu home with hillarious jokes n stories ila kusema nakupenda ilikuwa neno gumu kama pande la muhogo kupenye kooni.
Manz alicrush namie mpaka akanifata home Unique Flower sitamsahau Rosemary K. Mrema manz alikuwa ni mcute kama BMW M5 ujana jamani!
Leo hii ndio ningepata ile fursa 😅😅😅 would be a killshot
Ndio ashakutongoza hivyo ...wengine ndo huwa style zetu za kutongoza , ni Kama vile unakimbiza mwizi kimya kimya atapiga kelele mwenyewe Kama wewe ulivyokuja kupiga kelele huku na huwa inafanikiwa ...sasa kama nawe umempenda endelea kumsalimia tu one day atakuita muende sehemu ndo itakuwa imeisha hiyo , ila uwe mvumilivu maana inaweza chukua hata mwaka ...Kawaida yangu hata msichana awe amenivutia vipi tukipeana mawasiliano ntampigia au ntamtumia sms usiku huo tu Tena sio wa kumtongoza then simtafuti Tena , baada ya miezi kadhaa ananitafuta mwenyewe, Kuna ambao walinitafuta baada ya mwaka , so kipindi nasubilia we unitafute Kuna wengine tuliopena contact zaman wanakuwa wako online so kazi zinaendelea
Pole, kumbuka sio wanaume wote wamepewa kipaji cha kutongoza.Sasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Ahahhaahahaahahahahahhahahahhahaha.😁😁😁😁😁 snowhite umenichekesha mno aiseh
Endelea kujuta na wala hujakumbatiwa dada.Siwezi nimejutiaga hivyoo waleo sintorudia
Kweli katiba mpya ije tu.Hahahah hawez ruka mwamba ni Domozege pro maana hajafikia Max ila pia demu mshamba nae!
Jamaa anatamani demu ajiongeze yeye kabaki kutumbua macho kama mjusi gegedu hajui nini cha kufanya!
Demu nae mshamba wa mapenzi wote wamekutana Amatuers tu wanaogopana ila kwa ilipofikia hatua stahiki zisipochukuliwa tutahitaji katiba mpya😅😅😅
Imagine yangu ilikutwa kwenye daftari la mwalimu wa Bookeeping.Mimi niliandikiwa na huyo jamaa(alimpa binamu yangu anipe)nikaipokea kuitia kwenye koti Hata sijui funguka na sikujua nini kimeandikwa ndani😁😁ilikuja kudondoka bhana wakaidaka wanafunzi😁😁naomba niishie hapa kwakweli
😂😂😂 Mi yangu ya kawaida mkuu, ila nakumbuka chuo madem tukiwa discussion walikua wanasema nisiwaangalie nna macho makali.Bila shaka hutegemea sura na sura, kama sura yako ngumu usijaribu kabisa ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Mtongoze weweJamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Hahahah hawez ruka mwamba ni Domozege pro maana hajafikia Max ila pia demu mshamba nae!
Jamaa anatamani demu ajiongeze yeye kabaki kutumbua macho kama mjusi gegedu hajui nini cha kufanya!
Demu nae mshamba wa mapenzi wote wamekutana Amatuers tu wanaogopana ila kwa ilipofikia hatua stahiki zisipochukuliwa tutahitaji katiba mpya😅😅😅
[/QUOT
Siwezii kumuanza mwanaume akinianza nitaanza