Kuna jinsi ya kumfanya mwanaume huyu amhudumie mtoto wake?

Mom

JF-Expert Member
Oct 13, 2009
708
29
Mwanzoni walipendana sana na kupeana ahadi za ndoa, ikaja tokea dada akapata ujauzito ambao mwanaume alishauri atoe na dada alikataa, akamwacha na kumwambia si mimba yake maana yeye alishakuwa diagnosed kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.

Mwanaume hakuwahi kuokea mpaka mtoto alipozaliwa na kufikisha miezi5 na kama Mungu alitaka kumuumbua mtoto amefanana nae kama copy and paste!

Alipomwona mtoto akaoma msamaha, lakini kwa kuwa dada alishatendwa alimuambia labda wafunge ndoa otherwise hahitaji uhusiano nae tena. Ikaja kutokea dada akapoteza kazi aliyokua nayo na mtoto anahitaji matunzo ikiwemo pesa ya kuhudhuria clinic ya ngozi kila mwezi kutokana na kuwa allergic,

Shida baba hataki kutoa matunzo ya mtoto na mama akilalamika sana na kutishia kumwachia mtoto ndio anapewa pesa kidogo ambayo haitoshi kutokana na mahitaji ya mtoto kuwa makubwa.

Je kuna sheria yoyote inaweza kumfanya mwanaume huyu atoe matunzo ya mtoto na mtoto aendelee kuishi na mama yake? Mtoto ana umri wa miaka miwili sasa.
 
[FONT=arial,helvetica][FONT=arial,helvetica]Do not put such unlimited power into the hands of the husbands. Remember all men would be tyrants if they could
d
Hii signature yako kiboko, nimeipenda lakini inaonekana Mom wewe unawachukia sana wanaume. yaani umefika mahali unaamini wanaume wote wangependa kuwa tyrants? On the other side wat about women.(sorry off topic)
[/FONT]
[/FONT]
 
akimfungulia mashitaka bila ya shaka mahakama itamlazimisha alipe ............ila viwango atakavyolazimishwa alipe na mahakama ni vidogo sana. mahita aliambiwa alipe laki tu kwa mwezi, sasa huyo wako aweza pata labda laki na nusu tu na ndo uhasama na baba mtoto ukawa ndo wa moja kwa moja.

bora awashirikishe wazee kutatua suala hilo
 
Kwenye birth certificate aliandikisha jina la nani? (Father)... kama alikubali kama mtoto wake na akakubali mtoto wake aandikwe kwa jina lakini i think she should have rights to ask for a child support... sijui sheria za TZ vipi lakini huku the court can order up to 20% of the fathers' net income as a child support...

Having said that, premarital sex is totally condemned in our society, kama msichana got pregnant out of wedlock she and the father of the child will either have to face 2 yrs jail sentence or they should get married and they are free to get divorced later but the father will be forced to provide a child support...labda ahame nchi...
 
[FONT=arial,helvetica][FONT=arial,helvetica]Do not put such unlimited power into the hands of the husbands. Remember all men would be tyrants if they could
d
Hii signature yako kiboko, nimeipenda lakini inaonekana Mom wewe unawachukia sana wanaume. yaani umefika mahali unaamini wanaume wote wangependa kuwa tyrants? On the other side wat about women.(sorry off topic)
[/FONT]
[/FONT]

si wachukii kihivyo! changia topic basi
 
Kwenye birth certificate aliandikisha jina la nani? (Father)... kama alikubali kama mtoto wake na akakubali mtoto wake aandikwe kwa jina lakini i think she should have rights to ask for a child support... sijui sheria za TZ vipi lakini huku the court can order up to 20% of the fathers' net income as a child support...

Having said that, premarital sex is totally condemned in our society, kama msichana got pregnant out of wedlock she and the father of the child will either have to face 2 yrs jail sentence or they should get married and they are free to get divorced later but the father will be forced to provide a child support...labda ahame nchi...

aliandika jina halisi la baba kwa sababu kwa uelewa wake hakuona sababu ya kuandika jina tofauti na baba yake mzazi.
naona wenzetu wameendelea kumbe kuna sheria inawalazimu kwenda jela au kufunga ndoa?
 
Sheria zipo. Anachotakiwa ni kutoa uthibitisho (mahakamani) kuonesha kuwa huyo mtoto ni wa huyo mwanaume (akikataa kuna DNA!). Ikishathibitika kuwa ni mtoto wake, suala la baba kutoa matunzo halina mjadala merefu kwani sheria ipo wazi (labda kama huyo mwanaume hana uwezo kabisa).

Lakini huyo dada ni lazima ajue kuwa haki inakwenda na wajibu vilevile. Kama baba atatoa malezi kwa mwanae, then atakuwa na haki fulani juu ya huyo mtoto (kumwona, au pengine hata kumchukua akifikisha miaka 7).
 
akimfungulia mashitaka bila ya shaka mahakama itamlazimisha alipe ............ila viwango atakavyolazimishwa alipe na mahakama ni vidogo sana. mahita aliambiwa alipe laki tu kwa mwezi, sasa huyo wako aweza pata labda laki na nusu tu na ndo uhasama na baba mtoto ukawa ndo wa moja kwa moja.

bora awashirikishe wazee kutatua suala hilo

gaijin huyu dada anabahati mbaya sana maana hata mama mzazi wa mwanaume likua anaamini mwanae hana uwezo wa kumpa mtu mimba kutokana na walivyoambiwa na doctor. sasa hata ile kuja kumwona mtoto alileta mashoga zake ili waje wamsute dada na bahati mbaya ndio wakakuta mtoto wao kwa sura! yani wakaondoka kwa aibu na hawajawahi kutaka kujua tena. kwa hsida za huyu dada hata wakimlazimu kulipa laki ni kidogo ila inatosha.
 
Sheria zipo. Anachotakiwa ni kutoa uthibitisho (mahakamani) kuonesha kuwa huyo mtoto ni wa huyo mwanaume (akikataa kuna DNA!). Ikishathibitika kuwa ni mtoto wake, suala la baba kutoa matunzo halina mjadala merefu kwani sheria ipo wazi (labda kama huyo mwanaume hana uwezo kabisa).

Lakini huyo dada ni lazima ajue kuwa haki inakwenda na wajibu vilevile. Kama baba atatoa malezi kwa mwanae, then atakuwa na haki fulani juu ya huyo mtoto (kumwona, au pengine hata kumchukua akifikisha miaka 7).

kumchukua? hapo kweli haitakiwi maana dada hatakubali kumwacha mtoto akalelewe na baba especial baada ya kumkataa mimba. apart from DNA atatakiwa kutoa ushahidi kivipi? mtoto kafanana na baba ndio ushahidi wake au atatakiwa kueleza nn kingine?
 
Kwenye birth certificate aliandikisha jina la nani? (Father)... kama alikubali kama mtoto wake na akakubali mtoto wake aandikwe kwa jina lakini i think she should have rights to ask for a child support... sijui sheria za TZ vipi lakini huku the court can order up to 20% of the fathers' net income as a child support...

Having said that, premarital sex is totally condemned in our society, kama msichana got pregnant out of wedlock she and the father of the child will either have to face 2 yrs jail sentence or they should get married and they are free to get divorced later but the father will be forced to provide a child support...labda ahame nchi...

Hii sheria ya premarital sex kuwa na kifungo cha miaka miwili iko wapi?
 
kumchukua? hapo kweli haitakiwi maana dada hatakubali kumwacha mtoto akalelewe na baba especial baada ya kumkataa mimba. apart from DNA atatakiwa kutoa ushahidi kivipi? mtoto kafanana na baba ndio ushahidi wake au atatakiwa kueleza nn kingine?


Nakumbuka kuna mahali niliwahi kuishi miaka ya tisini mwishoni. Sasa kulikuwa na mtoto anafanana na mimi sana na watu wengi walikuwa hawasiti kunambia hivyo. Ilikuwa bahati tu yule mtoto alikuwa mkubwa (i.e. alizaliwa maiaka kama mnne kabla mimi sijafika maeneo yale), otherwise ningesingiziwa kutembea/kuzaa na mke wa mtu!

So kufanana tu sio ushahidi wa kutosha ingawa unaweza kumshawishi hakimu! Kama ulifuatilia ile kesi ya Mahita unaweza kuelewa nazungumzia nini. Ushahidi utakuwa muhimu endapo baba anakataa kuwa mtoto sio wake lakini katika case hiyo unaindicate baba alikataa mwanzao lakini baadae alikubali. Ni muhimu suala hilo la malezi likawa wazi na formal zaidi ili kutoa uhakika kwa mustakabali wa mtoto (hasa hilo suala la matibabu!).
 
Mwanzoni walipendana sana na kupeana ahadi za ndoa, ikaja tokea dada akapata ujauzito ambao mwanaume alishauri atoe na dada alikataa, akamwacha na kumwambia si mimba yake maana yeye alishakuwa diagnosed kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.

Mwanaume hakuwahi kuokea mpaka mtoto alipozaliwa na kufikisha miezi5 na kama Mungu alitaka kumuumbua mtoto amefanana nae kama copy and paste!

Alipomwona mtoto akaoma msamaha, lakini kwa kuwa dada alishatendwa alimuambia labda wafunge ndoa otherwise hahitaji uhusiano nae tena. Ikaja kutokea dada akapoteza kazi aliyokua nayo na mtoto anahitaji matunzo ikiwemo pesa ya kuhudhuria clinic ya ngozi kila mwezi kutokana na kuwa allergic,

Shida baba hataki kutoa matunzo ya mtoto na mama akilalamika sana na kutishia kumwachia mtoto ndio anapewa pesa kidogo ambayo haitoshi kutokana na mahitaji ya mtoto kuwa makubwa.

Je kuna sheria yoyote inaweza kumfanya mwanaume huyu atoe matunzo ya mtoto na mtoto aendelee kuishi na mama yake? Mtoto ana umri wa miaka miwili sasa.

...Wote wana makosa, lakini hawakumbuki anayeathirika ni mtoto. Kama kuna mwenye busara kwa pande zote mbili awakalishe chini wakubaliane tofauti zao ila wafanye yale yaliyo na manufaa kwa huyo mtoto.
 
ni SMU kuna kule kufanana japo si ndugu. shida ya dada ni garama za kumpeleka mtoto kupata matibabu, wakati mwingine anashauriwa kumbadilishia diet ili kuweza kujua nini kinamuaffect inakua ngumu sana kwa mtu asie na ajira ya uhakika kama isingekua hizi cost za hosp dada angeweza kujitahidi ahangaike na mtoto mwenyewe mpaka apate ajira.
 
Mwanzoni walipendana sana na kupeana ahadi za ndoa, ikaja tokea dada akapata ujauzito ambao mwanaume alishauri atoe na dada alikataa, akamwacha na kumwambia si mimba yake maana yeye alishakuwa diagnosed kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.

Mwanaume hakuwahi kuokea mpaka mtoto alipozaliwa na kufikisha miezi5 na kama Mungu alitaka kumuumbua mtoto amefanana nae kama copy and paste!

Alipomwona mtoto akaoma msamaha, lakini kwa kuwa dada alishatendwa alimuambia labda wafunge ndoa otherwise hahitaji uhusiano nae tena. Ikaja kutokea dada akapoteza kazi aliyokua nayo na mtoto anahitaji matunzo ikiwemo pesa ya kuhudhuria clinic ya ngozi kila mwezi kutokana na kuwa allergic,

Shida baba hataki kutoa matunzo ya mtoto na mama akilalamika sana na kutishia kumwachia mtoto ndio anapewa pesa kidogo ambayo haitoshi kutokana na mahitaji ya mtoto kuwa makubwa.

Je kuna sheria yoyote inaweza kumfanya mwanaume huyu atoe matunzo ya mtoto na mtoto aendelee kuishi na mama yake? Mtoto ana umri wa miaka miwili sasa.

Mwambie aende Ustawi wa Jamii... wanashughulikia hii maneno
 
Back
Top Bottom