Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
Mwanzoni walipendana sana na kupeana ahadi za ndoa, ikaja tokea dada akapata ujauzito ambao mwanaume alishauri atoe na dada alikataa, akamwacha na kumwambia si mimba yake maana yeye alishakuwa diagnosed kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba.
Mwanaume hakuwahi kuokea mpaka mtoto alipozaliwa na kufikisha miezi5 na kama Mungu alitaka kumuumbua mtoto amefanana nae kama copy and paste!
Alipomwona mtoto akaoma msamaha, lakini kwa kuwa dada alishatendwa alimuambia labda wafunge ndoa otherwise hahitaji uhusiano nae tena. Ikaja kutokea dada akapoteza kazi aliyokua nayo na mtoto anahitaji matunzo ikiwemo pesa ya kuhudhuria clinic ya ngozi kila mwezi kutokana na kuwa allergic,
Shida baba hataki kutoa matunzo ya mtoto na mama akilalamika sana na kutishia kumwachia mtoto ndio anapewa pesa kidogo ambayo haitoshi kutokana na mahitaji ya mtoto kuwa makubwa.
Je kuna sheria yoyote inaweza kumfanya mwanaume huyu atoe matunzo ya mtoto na mtoto aendelee kuishi na mama yake? Mtoto ana umri wa miaka miwili sasa.
Mwanaume hakuwahi kuokea mpaka mtoto alipozaliwa na kufikisha miezi5 na kama Mungu alitaka kumuumbua mtoto amefanana nae kama copy and paste!
Alipomwona mtoto akaoma msamaha, lakini kwa kuwa dada alishatendwa alimuambia labda wafunge ndoa otherwise hahitaji uhusiano nae tena. Ikaja kutokea dada akapoteza kazi aliyokua nayo na mtoto anahitaji matunzo ikiwemo pesa ya kuhudhuria clinic ya ngozi kila mwezi kutokana na kuwa allergic,
Shida baba hataki kutoa matunzo ya mtoto na mama akilalamika sana na kutishia kumwachia mtoto ndio anapewa pesa kidogo ambayo haitoshi kutokana na mahitaji ya mtoto kuwa makubwa.
Je kuna sheria yoyote inaweza kumfanya mwanaume huyu atoe matunzo ya mtoto na mtoto aendelee kuishi na mama yake? Mtoto ana umri wa miaka miwili sasa.