Kuna jambo linasahaulika kuhusu Rais Samia

Ichwampaka

Senior Member
Nov 19, 2018
134
109
Mambo mengi yametajwa kuhusu mafanikio ya Mhe. Samia Suluhu Hassan katika miaka hii miwili, lakini kuna jambo kubwa sana ambalo bila kulisema hayo mengine yote ni bure na hayana maana. Ni kuhusu kujenga FAMILIA.

1. Rais ameunganisha familia- Watu wengi walikuwa magerezani, mahabusu, 'wakimbizi', wengine walienda
kujificha vijijini ndani huko lakini wote (99%) wamerudi na kuungana na familia zao

2. Wazazi wengi walishindwa kulipa karo za shule za watoto, watoto waliwachukia wazazi- sasa ni furaha tupu ada zimeondolewa kwa kiasi kikubwa sana.

3. Tangu ameingia idadi ya talaka kwa taarifa zisizo rasmi inaweza kuwa imeshuka kwa 30%

4. Idadi ya wanaofunga ndoa nadhani imeongezeka kwa 16%

5. Mashauri ya ndoa kwenye mabaraza ya kata yamepungua mno

6. Idadi ya watu ambao wanacheka na kufurahi imeongezeka sana

7. % ya wanandoa waliokuwa wananuniana nayo imeshuka kwa kiasi kikubwa sana

Nitaendelea
 
Umesahu la Plea bargain anawajia waliochukua Hela na anajua Hela ziko china ila amekaa kimya
 
Kenya wanavurugana na itakuwa neema kubwa sana kwetu kwa maana Bandari yetu itanenepa na biashara zetu zitanawiri

halafu kuna Vichaa wanataka tujifunze Kenya kufanya vurugu za kisiasa
 
Kenya wanavurugana na itakuwa neema kubwa sana kwetu kwa maana Bandari yetu itanenepa na biashara zetu zitanawiri

halafu kuna Vichaa wanataka tujifunze Kenya kufanya vurugu za kisiasa
Kenya ni wasomi kuliko sisi,hata hizo demonstrations ziko calculated.tuache sisi mambulula na ccm yetu.mana 2025 t shirt na kanga kama kawaida.KATIBA MPAYA&TUME HURU YA UCHAGUZI
 
Umesahau kuweka namba ya simu!

Nitakuwa siwakumbushi tena maana mnajisahaulisha kusifia ujinga na kujifanya hamzitaki teuzi kumbe mnazitamani.
 
Umesahu la Plea bargain anawajia waliochukua Hela na anajua Hela ziko china ila amekaa kimya
Hata kujua kuwa kuna hela ziko China si ni mwenyewe alituambia? yaani alivyokuwa anaongea vile tayari mkono wake ulikuwa pale siku nyingi.( unajua serikali inavyofanya mambo yake?)
 
Umesahau kuweka namba ya simu!

Nitakuwa siwakumbushi tena maana mnajisahaulisha kujifanya hamzitaki teuzi kumbe mnazitamani.
Na kama ningeandika kwa mtindo hasi ningekuwa nafukuzia nini? Kwani yale mambo bado yapo? Sikuhizi ni kwa merits tu sio kujipendekeza na uchawa.
 
Blah blah siku hizi watu wameanza kupangishia tena michepuko na kutoa talaka kama njugu. Wakati wa awamu ya tano wanaume walirudi kwa wake zao na kuwahi nyumbani kuangalia TV.

Bia watu walinywea sebuleni kukwepa chawa
 
Mambo mengi yametajwa kuhusu mafanikio ya Mhe. Samia Suluhu Hassan katika miaka hii miwili, lakini kuna jambo kubwa sana ambalo bila kulisema hayo mengine yote ni bure na hayana maana. Ni kuhusu kujenga FAMILIA.

1. Rais ameunganisha familia- Watu wengi walikuwa magerezani, mahabusu, 'wakimbizi', wengine walienda
kujificha vijijini ndani huko lakini wote (99%) wamerudi na kuungana na familia zao

2. Wazazi wengi walishindwa kulipa karo za shule za watoto, watoto waliwachukia wazazi- sasa ni furaha tupu ada zimeondolewa kwa kiasi kikubwa sana.

3. Tangu ameingia idadi ya talaka kwa taarifa zisizo rasmi inaweza kuwa imeshuka kwa 30%

4. Idadi ya wanaofunga ndoa nadhani imeongezeka kwa 16%

5. Mashauri ya ndoa kwenye mabaraza ya kata yamepungua mno

6. Idadi ya watu ambao wanacheka na kufurahi imeongezeka sana

7. % ya wanandoa waliokuwa wananuniana nayo imeshuka kwa kiasi kikubwa sana

Nitaendelea
Ila tozo zime pungua na mgawo wa umeme umepungua?
 
Kenya ni wasomi kuliko sisi,hata hizo demonstrations ziko calculated.tuache sisi mambulula na ccm yetu.mana 2025 t shirt na kanga kama kawaida.KATIBA MPAYA&TUME HURU YA UCHAGUZI
Hamia Kenya kama vipi

eti demonstration zipo calculated!!!

hiyo Calculation anafanya nan? unajua impact ya gharama kubwa ya masuala ya Ulinzi na Usalama kipindi cha vurugu?, unajua athari ya kukosa watalii, wawekezaji n.k? bila shaka huko Shule ( kama mlienda) mlikwenda kutafuta GPA badala ya elimu
 
Mambo mengi yametajwa kuhusu mafanikio ya Mhe. Samia Suluhu Hassan katika miaka hii miwili, lakini kuna jambo kubwa sana ambalo bila kulisema hayo mengine yote ni bure na hayana maana. Ni kuhusu kujenga FAMILIA.

1. Rais ameunganisha familia- Watu wengi walikuwa magerezani, mahabusu, 'wakimbizi', wengine walienda
kujificha vijijini ndani huko lakini wote (99%) wamerudi na kuungana na familia zao

2. Wazazi wengi walishindwa kulipa karo za shule za watoto, watoto waliwachukia wazazi- sasa ni furaha tupu ada zimeondolewa kwa kiasi kikubwa sana.

3. Tangu ameingia idadi ya talaka kwa taarifa zisizo rasmi inaweza kuwa imeshuka kwa 30%

4. Idadi ya wanaofunga ndoa nadhani imeongezeka kwa 16%

5. Mashauri ya ndoa kwenye mabaraza ya kata yamepungua mno

6. Idadi ya watu ambao wanacheka na kufurahi imeongezeka sana

7. % ya wanandoa waliokuwa wananuniana nayo imeshuka kwa kiasi kikubwa sana

Nitaendelea
Rais Samia Suluhu amefanikiwa katika ujenzi wa Tanzania mpya yenye amani umoja na mshikamano na ndio maana hata maendeleo yanaonekana kwa nchi na kwa mtu mmoja mmoja safi sana Mama aendelee kuupiga mwingi
 
Back
Top Bottom