ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Baada ya uteuzi kupita na wateule kuapishwa hatimaye jana nilipata nafasi ya kumpigia simu rafiki yangu huyo ambaye alikuwa boss wa wilaya lakini ameachwa.
Kwa sababu wiki iliyopita nilikutanq naye na alikuwa na matumaini makubwa kwamba atasalia kwa sababu alipenyezewa nyepesi nyepesi kwamba wale wote ambao wilaya zao zilifanya vizuri wakati wa uchaguzi watabakizwa na yeye alijigamba kwamba wilayani kwake hakuna hakuna diwani wa ukawa kwa lazima atabakizwa.
Sasa nilipompigia simu ya kumpa pole kwa yaliyomkuta huku ukizingatia kwamba rafiki yangu huyo hata miaka 40 hajafikifikisha. Hili ndio jibu alilonipa " brother , this world is full of fake people , don't believe any body " . Nikaona kuna jambo la kujifunza hapa , je wewe umejifunza nn kutokana na bwana huyo.
Kwa sababu wiki iliyopita nilikutanq naye na alikuwa na matumaini makubwa kwamba atasalia kwa sababu alipenyezewa nyepesi nyepesi kwamba wale wote ambao wilaya zao zilifanya vizuri wakati wa uchaguzi watabakizwa na yeye alijigamba kwamba wilayani kwake hakuna hakuna diwani wa ukawa kwa lazima atabakizwa.
Sasa nilipompigia simu ya kumpa pole kwa yaliyomkuta huku ukizingatia kwamba rafiki yangu huyo hata miaka 40 hajafikifikisha. Hili ndio jibu alilonipa " brother , this world is full of fake people , don't believe any body " . Nikaona kuna jambo la kujifunza hapa , je wewe umejifunza nn kutokana na bwana huyo.