Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Unajua we fala sana. Mecheka kama mwehu ujue... dahMbona sio mapema๐๐๐
Nikilala zaidi ya hapa si utaamka na njaa ukose hata breafast jamani! Au unatafuta kisingizio cha kwenda kunywa supu bar๐๐๐
Safari ya Makuti bar imekufa rasmi....