Kuna ishara kabla ya kufikwa na mauti

Hindsight is 20 20

Wasingekufa kweli usingeunganisha dots..., in short naweza kuunganisha matukio yoyote ya nyuma yakamaanisha kitu chochote ninachotaka....
 
Kuota watu waliokufa
Kulazimika kufanya jambo baya kwa kusukumwa na moyo
Kutamka mambo ya kifo kila wakati
Kutosikiliza ushauri nzuri wa watu
Kuwa na hasira
Kuumwa
Ila sasa ww umeongelea negative yote amna mazur ata moja?
 
Suala la kifo naamin halitokeagi ghafla tu hii kitu inamaandalizi makubwa sana na ya mda mrefu kiroho,hata kama muhusika atapata kifo cha ghafla kimwili


Nakumbuka mama yangu mimi alifariki ghafla tu aliumwa kidogo tu hayakupita hata masaa mawili,!


Lakin wiki mbili kabla alituita mimi na kaka yangu na alitueleza mengi sana hasa juu ya mke wa kuoa na kudai kwamba hapendi kuona tukiteseka kama flan na flan( alitupa mifano ya uhalisia)

Pia usiku mmoja kabla ya kufikwa na mauti tulikaa nae sana tofauti na siku zote alipigia stori za vifo na alikua akijizungumzia yeye tulifika mbali ikabidi tumkatize kwani hatukupenda yale yatokee japo kua hatukujua ni nini kinafuata tulijua ni stori tu!

Basi bwan ilipofika asubuhi ya siku ya tukio aliamka na kupanga ratiba za siku kama kawaida ila siku ile aliwapa wadogo zangu kazi ya kufanya usafi maeneo yote yanayozunguka makaburi ya familia na akiwasisitiza kung'oa majani yote,,baadae akasalimia majirani wote wanaotuzunguka

Lakin kumbe hakua hata na masaa matano mbele,,alipata homa ya ghafla tu akafariki kabla hata ya kuonja dozi ya tabibu!


Haya yote yakitokea kwa akili ya kawaida huwezi jua kama ni dalili za kifo chake,ila baada ya kutokea ndio utakuja kuunganisha dots sas na kuelewa kumbe alkua akimaanisha hivi
 
Kuna dogo mmoja shule ya msingi niliyosoma mkoani kwetu Kilimanjaro. Ilikuwa hivi.

Kwa kawaida shule za vijijini tuna desturi kukimbia mchakamchaka kabla ya kuingia darasani.

Sasa siku ya tukio, tulikimbia vizuri mchakamchaka baadae tukaingia madarasani. Ilipofika mida ya saa nne, dogo alianza kuwaaga wenzake akiwaambia "naenda zangu Marekani na sita rudi tena"

Dogo alipita kila dawati akiwaambia hivyo wenzake. Baadae alirudi kwenye dawati lake akakaa. Ilipofika mida ya break, aliamka kwenda nje.

Bahati mbaya alijikwaa kwenye dawati akaanguka chini sakafuni akapiga eneo ya kisogo. Akadondoka chini akaanza kugeuza macho na mapovu yakimtoka.

Tulienda parokiani kuomba gari, ili kumpeleka hospitali. Tulipofika daktari alisema "kijana hatunae tena"..

Ikawa ndio mwisho wake hivyo. So nahisi kuna connection flani hivi wakati kifo kinapomkaribia mtu.
 
Kuna dogo mmoja shule ya msingi niliyosoma mkoani kwetu Kilimanjaro. Ilikuwa hivi.

Kwa kawaida shule za vijijini tuna desturi kukimbia mchakamchaka kabla ya kuingia darasani.

Sasa siku ya tukio, tulikimbia vizuri mchakamchaka baadae tukaingia madarasani. Ilipofika mida ya saa nne, dogo alianza kuwaaga wenzake akiwaambia "naenda zangu Marekani na sita rudi tena"

Dogo alipita kila dawati akiwaambia hivyo wenzake. Baadae alirudi kwenye dawati lake akakaa. Ilipofika mida ya break, aliamka kwenda nje.

Bahati mbaya alijikwaa kwenye dawati akaanguka chini sakafuni akapiga eneo ya kisogo. Akadondoka chini akaanza kugeuza macho na mapovu yakimtoka.

Tulienda parokiani kuomba gari, ili kumpeleka hospitali. Tulipofika daktari alisema "kijana hatunae tena"..

Ikawa ndio mwisho wake hivyo. So nahisi kuna connection flani hivi wakati kifo kinapomkaribia mtu.
Yupo marekani
 
Suala la kifo naamin halitokeagi ghafla tu hii kitu inamaandalizi makubwa sana na ya mda mrefu kiroho,hata kama muhusika atapata kifo cha ghafla kimwili


Nakumbuka mama yangu mimi alifariki ghafla tu aliumwa kidogo tu hayakupita hata masaa mawili,!


Lakin wiki mbili kabla alituita mimi na kaka yangu na alitueleza mengi sana hasa juu ya mke wa kuoa na kudai kwamba hapendi kuona tukiteseka kama flan na flan( alitupa mifano ya uhalisia)

Pia usiku mmoja kabla ya kufikwa na mauti tulikaa nae sana tofauti na siku zote alipigia stori za vifo na alikua akijizungumzia yeye tulifika mbali ikabidi tumkatize kwani hatukupenda yale yatokee japo kua hatukujua ni nini kinafuata tulijua ni stori tu!

Basi bwan ilipofika asubuhi ya siku ya tukio aliamka na kupanga ratiba za siku kama kawaida ila siku ile aliwapa wadogo zangu kazi ya kufanya usafi maeneo yote yanayozunguka makaburi ya familia na akiwasisitiza kung'oa majani yote,,baadae akasalimia majirani wote wanaotuzunguka

Lakin kumbe hakua hata na masaa matano mbele,,alipata homa ya ghafla tu akafariki kabla hata ya kuonja dozi ya tabibu!


Haya yote yakitokea kwa akili ya kawaida huwezi jua kama ni dalili za kifo chake,ila baada ya kutokea ndio utakuja kuunganisha dots sas na kuelewa kumbe alkua akimaanisha hivi
Pole sana mkuu
 
Hakuna jambo linalompata MTU iwe kifo ,ajali, mafanikio etc bila kupata sign fulani ya nature kukwambia au kupata ndoto ,au etc..Tatizo tunachukulia poa baadhi ya vitu tunaona kawaida...
 
Suala la kifo naamin halitokeagi ghafla tu hii kitu inamaandalizi makubwa sana na ya mda mrefu kiroho,hata kama muhusika atapata kifo cha ghafla kimwili


Nakumbuka mama yangu mimi alifariki ghafla tu aliumwa kidogo tu hayakupita hata masaa mawili,!


Lakin wiki mbili kabla alituita mimi na kaka yangu na alitueleza mengi sana hasa juu ya mke wa kuoa na kudai kwamba hapendi kuona tukiteseka kama flan na flan( alitupa mifano ya uhalisia)

Pia usiku mmoja kabla ya kufikwa na mauti tulikaa nae sana tofauti na siku zote alipigia stori za vifo na alikua akijizungumzia yeye tulifika mbali ikabidi tumkatize kwani hatukupenda yale yatokee japo kua hatukujua ni nini kinafuata tulijua ni stori tu!

Basi bwan ilipofika asubuhi ya siku ya tukio aliamka na kupanga ratiba za siku kama kawaida ila siku ile aliwapa wadogo zangu kazi ya kufanya usafi maeneo yote yanayozunguka makaburi ya familia na akiwasisitiza kung'oa majani yote,,baadae akasalimia majirani wote wanaotuzunguka

Lakin kumbe hakua hata na masaa matano mbele,,alipata homa ya ghafla tu akafariki kabla hata ya kuonja dozi ya tabibu!


Haya yote yakitokea kwa akili ya kawaida huwezi jua kama ni dalili za kifo chake,ila baada ya kutokea ndio utakuja kuunganisha dots sas na kuelewa kumbe alkua akimaanisha hivi
Daa nime kumbuka mama yangu alipo karibia kufariki siku kadhaa nyuma aliniita akanambia ebu shika miguu yangu uone ilivo ya baridi aka sema safari hii sijui kama nita pona!!niliumia sana nikajikaza kumwambia utapona mama!!
Aliugua tuka mpeleka hospitali kweli hakurudi tena!!
 
Back
Top Bottom