Habari za muda wakuu,
Niingie kwenye mada. Kuna HOFU nyingi ktk maisha, mfano:
Hofu ya kufeli katika biashara, elimu, kilimo nk
Hofu ya kuachika katika mahusiano
Hofu ya kufukuzwa kazi
Hofu ya kufa
Hofu ya kufilisika nk.
Je, wanadamu wote wana hofu ya kitu Fulani?
Je, dawa ya kuizima hofu ni nini?
Niingie kwenye mada. Kuna HOFU nyingi ktk maisha, mfano:
Hofu ya kufeli katika biashara, elimu, kilimo nk
Hofu ya kuachika katika mahusiano
Hofu ya kufukuzwa kazi
Hofu ya kufa
Hofu ya kufilisika nk.
Je, wanadamu wote wana hofu ya kitu Fulani?
Je, dawa ya kuizima hofu ni nini?