Kuna hofu mbalimbali zinazowakumba watu. Je, dawa ya kuzima hofu ni nini?

Kwa binadamu aliyekamilika kuwa na hofu ni Jambo la kawaida Sana.ukiona unaishi humu duniani huna hofu yoyote itakuwa haupo normal.Hofu isiyo na KIASI ndio tatizo.Inapaswa utambue hii hofu ni ya kawaida au imezidi kiasi.

Hofu iliyopitiliza mara nyingi inatoka kwa adui shetani maana kiasili Mungu hakutuumba wanadamu na hofu.wakati mwingine inasababishwa na madhaifu yetu sisi wanadamu kutokana na mazingira tuliyokulia,malezi,hulka tulizoridhi n.k

Kuwa na mahusiano mazuri na Mungu ndio nguzo ya kushinda hofu zote,maana Mungu ndie mtoa amani.Ukiwa naye ataachilia amani yake kwako
 
Daah kipindi nipo second year pale sua kuna somo lilinikamata mpaka third attempt maana yake nikilifeli tena nakariri mwaka

Daah pindi nimeshalifanyia third attempt yake (probation) nilikuwa nikiishi kwa hofu sana kipindi kizima nikisubiria matokeo nilikuwa Sina amani kabisa kila nikilifikiria je matokeo yakija nitakuwa nimelichomoa au wameniweka kambani ni retake course



Daaah hofu ni Mbaya Sana wakuu

Kwa binadamu aliyekamilika kuwa na hofu ni Jambo la kawaida Sana.ukiona unaishi humu duniani huna hofu yoyote itakuwa haupo normal.Hofu isiyo na KIASI ndio tatizo.Inapaswa utambue hii hofu ni ya kawaida au imezidi kiasi.

Hofu iliyopitiliza mara nyingi inatoka kwa adui shetani maana kiasili Mungu hakutuumba wanadamu na hofu.wakati mwingine inasababishwa na madhaifu yetu sisi wanadamu kutokana na mazingira tuliyokulia,malezi,hulka tulizoridhi n.k

Kuwa na mahusiano mazuri na Mungu ndio nguzo ya kushinda hofu zote,maana Mungu ndie mtoa amani.Ukiwa naye ataachilia amani yake kwako
Mkuuu,barikiwa saana,ujumbe murua kabisa
 
Kuna hofu ya kutomfikisha mke/Demu kileleni mwisho wa sik hofu inakuzidi mpaka mashine inashindwa fanya kazi kabisa.Hii hofu ni mbaya sana na usiombe ikukute wadau
Duuuuu,kula vizuri na fanya mazoezi ili ujijengee ujasiri ktk hilo
 
Back
Top Bottom