Kuna hii tabia ya ukatuni kwa wanaume wengi, haifai

Surya

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
8,363
12,537
Ukatuni wenyewe ni...
Utakuta mwanaume anatafuta mpenzi huenda alikua single au anaongeza mchepuko na akafanikiwa kupata,
Kapata mtoto akamtunuku tunda siku hiyo hiyo,
Baadhi ya wanaume tulivo ng'ombe unatoka hapo na dharau kibao mala ohh demu mwepesi vile, mala demu malaya, mala ndani ya week tu nika mla, bla bla nyingi
Kwenye sex napo.. mala kanipa style fulani nikajua kabisa huyu malaya.. HAYO NDIO YANAKUA MALIPO YAKE, kisa kajiachia kwako.
Huo ni ukatuni sio siri.
Najiuliza ukikutana na wale ambao mnaingizana chumban anagoma kuvua chupi utasemaje??

Ukatuni wa pili..
Sisi wanaume ndio kichwa kama mnavyojua..
Kitendo cha kufanya mapenzi bila kujali utampa mimba dada wa watu au la na huna malengo nae.
kwa nin kumekua na watu wameshindwa kujitambua katika hili?
At least, approximately siku za mwanamke kubeba mimba ni kama 7 katika mwezi, zingekua nyingi sijui ingekuaje.

(Mwaka 2020) vunja mifupa ingali bado meno iko.
 
Ukatuni wenyewe ni...
Utakuta mwanaume anatafuta mpenzi huenda alikua single au anaongeza mchepuko na akafanikiwa kupata,
Kapata mtoto akamtunuku tunda siku hiyo hiyo,
Baadhi ya wanaume tulivo ng'ombe unatoka hapo na dharau kibao mala ohh demu mwepesi vile, mala demu malaya, mala ndani ya week tu nika mla, bla bla nyingi
Kwenye sex napo.. mala kanipa style fulani nikajua kabisa huyu malaya.. HAYO NDIO YANAKUA MALIPO YAKE, kisa kajiachia kwako.
Huo ni ukatuni sio siri.
Najiuliza ukikutana na wale ambao mnaingizana chumban anagoma kuvua chupi utasemaje??

Ukatuni wa pili..
Sisi wanaume ndio kichwa kama mnavyojua..
Kitendo cha kufanya mapenzi bila kujali utampa mimba dada wa watu au la na huna malengo nae.
kwa nin kumekua na watu wameshindwa kujitambua katika hili?
At least, approximately siku za mwanamke kubeba mimba ni kama 7 katika mwezi, zingekua nyingi sijui ingekuaje.

(Mwaka 2020) vunja mifupa ingali bado meno iko.
Umeongea mambo ya msingi sana. Ila kuna pimbi watakupinga
 
Ukatuni wenyewe ni...
Utakuta mwanaume anatafuta mpenzi huenda alikua single au anaongeza mchepuko na akafanikiwa kupata,
Kapata mtoto akamtunuku tunda siku hiyo hiyo,
Baadhi ya wanaume tulivo ng'ombe unatoka hapo na dharau kibao mala ohh demu mwepesi vile, mala demu malaya, mala ndani ya week tu nika mla, bla bla nyingi
Kwenye sex napo.. mala kanipa style fulani nikajua kabisa huyu malaya.. HAYO NDIO YANAKUA MALIPO YAKE, kisa kajiachia kwako.
Huo ni ukatuni sio siri.
Najiuliza ukikutana na wale ambao mnaingizana chumban anagoma kuvua chupi utasemaje??

Ukatuni wa pili..
Sisi wanaume ndio kichwa kama mnavyojua..
Kitendo cha kufanya mapenzi bila kujali utampa mimba dada wa watu au la na huna malengo nae.
kwa nin kumekua na watu wameshindwa kujitambua katika hili?
At least, approximately siku za mwanamke kubeba mimba ni kama 7 katika mwezi, zingekua nyingi sijui ingekuaje.

(Mwaka 2020) vunja mifupa ingali bado meno iko.
Sio ukatuni ni Ufala
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom