Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Tumbua, teua,tumbua ni dhana njema ya kupanga safu bora ya viongozi.
Hawa wanaotumbuliwa wengi wao hawakupenda itokee na wanatoka kwa shingo upande.
Kuna RC mmoja wa mkoa mmoja alimlilia mtumbuaji, tena alikuwa Dr. kuwa mimi sijui kazi nyingine ya kufanya, ungenihurumia! Kilio hakikusikika.
Kuna wengine wametumbuliwa wakiwa na nafasi nyeti kitaifa tunao mitaani wanajimwaga hadi tunajua na X Y Z za nchi.
Hawa niikumbushe Serikali yangu, siyo wema kwa kukaa vijiweni. Aidha kuwe na uchaguzi makini wa nani akae wapi ili kuwe na tija na kupunguza tumbua tumbua.
Hawa wanaotumbuliwa wengi wao hawakupenda itokee na wanatoka kwa shingo upande.
Kuna RC mmoja wa mkoa mmoja alimlilia mtumbuaji, tena alikuwa Dr. kuwa mimi sijui kazi nyingine ya kufanya, ungenihurumia! Kilio hakikusikika.
Kuna wengine wametumbuliwa wakiwa na nafasi nyeti kitaifa tunao mitaani wanajimwaga hadi tunajua na X Y Z za nchi.
Hawa niikumbushe Serikali yangu, siyo wema kwa kukaa vijiweni. Aidha kuwe na uchaguzi makini wa nani akae wapi ili kuwe na tija na kupunguza tumbua tumbua.