Mkuusikutishi ila muhimu sana kuchukua tahadhari soon,kwanzia usiku huu utasikia mengi..Tunatishana bwana
Yakitokea nitarudiMkuusikutishi ila muhimu sana kuchukua tahadhari soon,kwanzia usiku huu utasikia mengi..
Utaukumbuka huu uzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
leta updateMkuusikutishi ila muhimu sana kuchukua tahadhari soon,kwanzia usiku huu utasikia mengi..
Utaukumbuka huu uzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalosema linaweza kuwa na ukweli kiongozi tangu juzi mi nakula madawa tu na nimejifungia ndani, leo nimeletewa mask ili nisiwadhuru wengine aisee.
Ni hatari sana...!
hatuombei! Ila nina mashaka kuna hatari kubwa inakuja,maandalizi muhimu!!Yakitokea nitarudi
duh!pole mkuu..
Waziri Ummy anakwambia kwanzia J3 ndo watapata muelekeo wa gonjwa lenyewe,
ilihali upepo umeanza kubadili muelekeo!
Sent using Jamii Forums mobile app
hatuombei! Ila nina mashaka kuna hatari kubwa inakuja,maandalizi muhimu!!
Kila la kheri
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga ww, mwisho wa binadamu ni kifo, hata ujaze hayo makunde ndani utakufa tu siku 1.Wakuu
Niwakumbushe kuchukua tahadhari,fuata maelekezo yote ya kiafya,fanya maombi kwa sana linda afya yako,weka stock kidogo kidogo ya vyakula kama kunde,nafaka,kiasi cha fedha nk
Narudia chukua tahadhari mapema kuna hatari kubwa itakuja saa yoyote(japo hatuombei mabaya) ila muhimu kuwa na tahadhari siku za karibuni kila familia na miji kutakuwepo na taharuki na watu tutakimbiana,Muda muafaka kila mtu aandae zana za kuingia vitani haijalishi una nafasi gani iwe cheo,umri wala rangi ndo kwanza saivi makuruta wapo vitani bado vita yenyewe!tuwe makini sana
Tumuombe Mungu atuache salama kwa sabbu kuna kila dalili siku za karibuni kukimbiana hapa.
Huu ni ujumbe mfupi kwako ukiupenda uchukue utakusaidia,kama hauna maana kwako pita kimya kimya tuu itapendeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaUnalosema linaweza kuwa na ukweli kiongozi tangu juzi mi nakula madawa tu na nimejifungia ndani, leo nimeletewa mask ili nisiwadhuru wengine aisee.
Ni hatari sana...!
Pole sana