Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
Mwanzoni wakati CHADEMA wanatangaza kumsusia Tendwa, binafsi sikuona hasara yeyote kwa Tendwa (mpaka sasa sijaiona) Ila kwa jinsi Tendwa anavyoangaika kurejesha mahusiano yake na CHADEMA, nahisi kuna hasara anapata, je, ni hasara gani Tendwa anapata kwa kususiwa na CHADEMA?