Najiuliza tu, sijui hasara yake lakini nawaona hawa ni watu ambao kwa kiasi fulani wanauelewa na migodi ya Tanzania. Wakijumuishwa kwenye kamati kuna hasara gani kwa CCM?
Magufuli keshalikoroga kuzuia makinikia, angeomba mazungumzo kwenye mazingira neutral.Dube, achilia mbali kwamba mmoja ni mchumi mzuri na mwingine ni mwanasheria mzuri wanayo sifa ya ziada ya uwezo mkubwa wa kujenga honja