William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Unaongelea territory njoo na facts kwamba kuna mtoto wa kigogo wa CCM darasa la Saba ni ofisa wa Ubalozi au BOT, Otherwise toeni boriti huko kwenu kwanza! - William
Malecela, cut the nonsense, mdogo wako na mkeo wote waliwekwa ubalozini NY, na Rose Mkapa unataka kuongopa kwamba hana uhusiano na Mkapa? Sikutegemea unaweza kuwa na balls za kutetea nepotism ubalozini of all the people.Hakuna mtoto wa Mkapa ... uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge
Majungu majungu tu!
Well, waste of time na wacheni kuchafua majina ya walalahoi wanaojitafutia riziki na familia zao, anzieni huko kwenu kwanza mruhusuni Zitto kugombea Uenyekiti ndio mtakuwa na Moral authority on this ishu, hapa mmedata! Chairman Mao alisema No research no right to speak! - Le Mutuz
Hakuna mtoto wa Mkapa Ubalozi wetu wowote Duniani Mkapa ana watoto Wawili Steve na Nico wapo Bongo, na hawapo Ubalozi wowote hapo Bongo Umekurupuka, nenda Bungeni uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge, Halafu uje utueleze hivi Chadema ilibidi Mwenyekiti lazima awe Mkwe wa Mtei tu? Hakukuwa na wengine? Wacheni kuchafua Majina ya watu. - William[/QUOT
Huko New York baridi sana nini jamaa umekurupuka na dressing gown!! Kwani kwa nyinyi wagogo/wanyiha kwenu mtoto wa kaka au mdogo wako sio mwanao? Sasa huyo aliyepo hapo kweye ubalozi hana uhusiano na Ben Mkapa?
Hakuna mtoto wa Mkapa Ubalozi wetu wowote Duniani Mkapa ana watoto Wawili Steve na Nico wapo Bongo, na hawapo Ubalozi wowote hapo Bongo Umekurupuka, nenda Bungeni uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge, Halafu uje utueleze hivi Chadema ilibidi Mwenyekiti lazima awe Mkwe wa Mtei tu? Hakukuwa na wengine? Wacheni kuchafua Majina ya watu. - William
Hakuna mtoto wa Mkapa Ubalozi wetu wowote Duniani Mkapa ana watoto Wawili Steve na Nico wapo Bongo, na hawapo Ubalozi wowote hapo Bongo Umekurupuka, nenda Bungeni uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge, Halafu uje utueleze hivi Chadema ilibidi Mwenyekiti lazima awe Mkwe wa Mtei tu? Hakukuwa na wengine? Wacheni kuchafua Majina ya watu. - William
Well, waste of time na wacheni kuchafua majina ya walalahoi wanaojitafutia riziki na familia zao, anzieni huko kwenu kwanza mruhusuni Zitto kugombea Uenyekiti ndio mtakuwa na Moral authority on this ishu, hapa mmedata! Chairman Mao alisema No research no right to speak! - Le Mutuz
Majungu majungu tu!
Unaongelea territory njoo na facts kwamba kuna mtoto wa kigogo wa CCM darasa la Saba ni ofisa wa Ubalozi au BOT, Otherwise toeni boriti huko kwenu kwanza! - William
Sio majungu mkuu, ni bora ungeipotezea tu hii thread, kwa sababu mke wako hapo Marekani kazi anayofanya amepewa kwa misingi ya kujuwana, kwa sababu hana sifa wala uwezo wa hiyo post aliyopewa kwa mfumo wa kiubabaishaji. u better shut up ur mouth kabla sijaweka hapa full profile ya mke wako ili wadu waujuwe ukweli.Majungu majungu tu!
Well,i can see that ukitaka kumtoa nyoka pangoni mpigie filimbi..naona William @NYC umepigiwa filimbi na umetoka taratibu kujianika jinsi ulivyo...macho kwetu kaka..changia thread tujue mengi yako na wadau wekeni hiyo profile ya mke wake hapo ubalozini ili tujue anachotetea kinatokana na filimbi kulia.
@ NY tatizo si watoto wa vigogo issue ni je wana sifa za kufanya kazi sehemu hizo?? Nenda BoT uone walivyojazana unasemea CDM wa CCM huwaoni? Tena wengine walibebwa wazi
Huyu ni sehemu ya wale walioguswa na hii thread, labda ungenisaidia tu kunielimisha kama watoto wa vigogo wanapata elimu nzuri ni nini kinachofanya watoto wa makabwela wasipate elimu nzuri?Mind yako ukishaiset kwenye kulalamika kila kitu utalalamika tu, hivi hao watoto wa vigogo mnataka wafanye wapi kazi? Kwa taarifa yako watoto wa vigogo na matajiri wanapata elimu nzuri na wataendelea kupata nafasi nzuri weather unapenda au la. Haya ni majungu na hisia tu.
We piga kazi kwa bidii ili nawe watoto wako waje kufaidi matunda ya elimu nzuri utakayowapa. Ukikalia kudhani kuwa siasa na katiba mpya ndo vitakutoa pole sana.
Mind yako ukishaiset kwenye kulalamika kila kitu utalalamika tu, hivi hao watoto wa vigogo mnataka wafanye wapi kazi? Kwa taarifa yako watoto wa vigogo na matajiri wanapata elimu nzuri na wataendelea kupata nafasi nzuri weather unapenda au la. Haya ni majungu na hisia tu.
We piga kazi kwa bidii ili nawe watoto wako waje kufaidi matunda ya elimu nzuri utakayowapa. Ukikalia kudhani kuwa siasa na katiba mpya ndo vitakutoa pole sana.
Hakuna mtoto wa Mkapa Ubalozi wetu wowote Duniani Mkapa ana watoto Wawili Steve na Nico wapo Bongo, na hawapo Ubalozi wowote hapo Bongo Umekurupuka, nenda Bungeni uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge, Halafu uje utueleze hivi Chadema ilibidi Mwenyekiti lazima awe Mkwe wa Mtei tu? Hakukuwa na wengine? Wacheni kuchafua Majina ya watu. - William
Tena hao ni wale waliopitishwa kwenye ubunge lakini walioshindwa walikuwa wengi na wote ni wa familia hizo hizo. Mtoto wa Mtei ndiye alikuwa head wa IT wa Chadema kwenye kampeni za last year.
Well, waste of time na wacheni kuchafua majina ya walalahoi wanaojitafutia riziki na familia zao, anzieni huko kwenu kwanza mruhusuni Zitto kugombea Uenyekiti ndio mtakuwa na Moral authority on this ishu, hapa mmedata! Chairman Mao alisema No research no right to speak! - Le Mutuz
Majungu majungu tu!