Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,587
Tume ya Uchaguzi inaonekana haitetereki na marudio ya chaguzi kila kukicha na inaonekana ni jambo wanalolipenda mno...
Yule Rais mpenda sifa na majigambo kwamba yeye ni mtu wa kuzuia hela za umma zisitumike vibaya naye anaonekana hasumbuliwi na marudio ya chaguzi hizi ambazo kwa makisio ya haraka haraka hadi sasa zitatumia bil.32(Gazeti la Mwananchi la leo)..
Sasa jambo lolote ambalo huwa halikemewi na Magufuli ujue ana maslahi nalo asilimia 100, na hakuna maslahi yaliyo na maana kwa Magufuli zaidi ya fedha..
Ninapata hisia, hizi chaguzi zinazofanyika sasa kila siku ni mbinu ya Magufuli kutoroshea fedha za Umma kwenda CCM kwa ajili ya Uchaguzi wa 2020, huyu mtu ni corrupt na ni hatari kwa ustawi na usalama wa taifa, mark my word!
Yule Rais mpenda sifa na majigambo kwamba yeye ni mtu wa kuzuia hela za umma zisitumike vibaya naye anaonekana hasumbuliwi na marudio ya chaguzi hizi ambazo kwa makisio ya haraka haraka hadi sasa zitatumia bil.32(Gazeti la Mwananchi la leo)..
Sasa jambo lolote ambalo huwa halikemewi na Magufuli ujue ana maslahi nalo asilimia 100, na hakuna maslahi yaliyo na maana kwa Magufuli zaidi ya fedha..
Ninapata hisia, hizi chaguzi zinazofanyika sasa kila siku ni mbinu ya Magufuli kutoroshea fedha za Umma kwenda CCM kwa ajili ya Uchaguzi wa 2020, huyu mtu ni corrupt na ni hatari kwa ustawi na usalama wa taifa, mark my word!