Kuna hali fulani ya unyonge imetawala, sijui kwanini hata

Niko hapa muda fulani naangalia TBC kwa kinachoendelea kwenye zoezi la kuapisha viongozi wapya Dodoma.

Kiukweli naona viongozi walioongea naona wengi wao hawana ule uchangamfu wa usoni. Kuna Kaunyonge fulani miongoni mwao I don't know what's wrong.

Copy aione Mshana Jr
week end hang over...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom