Elections 2010 Kuna Haja ya Viongozi CCM-Kikwete na Mawaziri Kutambuliwa Officially Nje ya Nchi?

niweze

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
1,008
116
Sioni Kama Kuna Umuhimu wa Viongozi wa CCM, Kikwete na Mawaziri Watakaoteuliwa Kutambulika Duniani. Hii Iwe Moja Wapo ya Initiative ya Nchi Zingine Kuadhibu Vyama Vyovyote Vinavyo Wakandamiza Wananchi Wao Kupitia Hiyo Hiyo Demokrasi ya Usawa. Kitu Kikubwa ni Kwamba Wasipewe Visas Hizo Nje, Wao na Familia Zao na Wananchi Watanzania Wanaoishi Marekani, UK, Japan, Germany na Nchi Hizo Ambazo Zinatoa Misaada Mikubwa Tanzania Wanatakiwa Waweke Opinions Zao Kwenye Magazeti na Njia Zozote Zile Ili Hizi Serikali Zijue CCM ni Watu Wa Namna Gani. Watu Wachache Ambao Wanataka Kuharibu Amani na Maendeleo ya Nchi Yetu. Jambo Jingine Kubwa ni Tusisitize Chadema Viongozi na Kila Mtanzania Anayefanya Kazi World Bank na IMF au Institution Yeyote na Wafadhili Tanzania Wasitoe Misaada Yoyote Kupitia Serikali ya Kikwete kwa Sababu Wanatumia Hizo Hizo Funds Kuwalipa Watu Kuiba Kura na Kulinda Kura za Uongo. Kuna Vitu Vingi vya Kufanya Bila Kuwaumiza Wananchi na Kuhakikisha CCM Inaumia kwa Vitendo Vyao.
"It's seem That Africa Democracy is Still Along Way To Go! Don't Give UP"
 
Mi sipendi kweli watu wanavyo appeal nje!
Hivi tutashindwa ku solve matatizo yetu hata lini?
 
tuache kutegemea watu wa nje matatizo yetu lazima tuyaondowe sisi wenyewe.
 
No Matter What Hizi Nchi Zina Enfluence Kubwa Kwenye Issues Zetu. Huwezi Ukaibana CCM Kutoka Ndani ya Nchi. Nafasi ya Kubaibana CCM au Kubadili Mwenendo wa Nchi Ilikuwa ni Election na Matokeo Ndio Hayo Tumeyaona, Hawataki na They Don't Believe They Have Failed to Create Effective Policies. Let's See, CCM Inacontrol Judicial System, Security, Bunge and Central Bank What Else Do People Have Choice. Foreign Governments Hasa Developed Ones Zimepitia Hizi Hali na Wanafund Our Budget na Hasa Wanalipa Mishahara na Projects Mbalimbali Tanzania. We are not Asking for Them to Take Over Our Country Ila There Ways to Make Sure CCM is Not Going to Treat Citizens Like This. Hizi Strategies Zimework other Countries in Africa na Hata CCM Wakisikia Marekani na UK Hawapendezwi na Huu Uchaguzi, CCM Will Not Take It Lightly Trust Me. These Strategy Work and We Should Use Them!
 
No Matter What Hizi Nchi Zina Enfluence Kubwa Kwenye Issues Zetu. Huwezi Ukaibana CCM Kutoka Ndani ya Nchi.
Kwanza hili tatizo la kuwa influenced na nchi za nje ni tatizo. Pili hilo la kuibana CCM, you must be kidding! Hivi kuna mgeni gani aliyesababisha CCM B kutoa matokeo sehemu mbalimbali za nchi?

Achana na mawazo mepesi hivyo.
Tuna kila sababu ya kuwa influence wao na kupunguza to minimum influence yao!
 
Kweli Inaonekana Upeo Wako wa Foreign Affairs za Inchi Kweli Uzijui. Nani Anafund Budget ya Tanzania? Nani Anafund Project za Maji na AIDS Inchini? Nani Ametoa Funds kwa Ajili ya Kuendesha Free and Fair Election Tanzania? Wewe Unafikiri Tanzania Tax Payers Wanaweza Kulipia Hizi Projects na Kuwalipa Wafanyakazo Wote wa Serikali? Tunajua Tanzania Can Do a lot But CCM Always Mismanage Tax Payers Money. Unafikiri South Africa Segregation Policies Ziliishaje Bila Developed Nations Decided to Put Pressure Kwenye Government ya S.Africa. Hizi Tactics za Kulazimisha Serikali Zinazowakandamiza Wananchi Wao Kwa Namna Moja au Nyingine Kwa Kupitia Foreign Donor Zimetumika Duniani Kote na Zinawork. Nafikiri Unachanganya Mambo au Maybe you don't Understand What We are Discuss Here. CCM Cheated in This Election and If We Don't Get the Word Out They Will Continue to Oppress Tanzanians Year After Year. Tell Us Your Strategies Going Forward!
 
tuache kutegemea watu wa nje matatizo yetu lazima tuyaondowe sisi wenyewe.

Lazima watu wa nje tuwategemee. Unakumbuka kauli ya mkullu kwenye kampeni zake? Bila kwenda kuomba nje watu watakufa na njaa.
 
No Matter What Hizi Nchi Zina Enfluence Kubwa Kwenye Issues Zetu. Huwezi Ukaibana CCM Kutoka Ndani ya Nchi. Nafasi ya Kubaibana CCM au Kubadili Mwenendo wa Nchi Ilikuwa ni Election na Matokeo Ndio Hayo Tumeyaona, Hawataki na They Don't Believe They Have Failed to Create Effective Policies. Let's See, CCM Inacontrol Judicial System, Security, Bunge and Central Bank What Else Do People Have Choice. Foreign Governments Hasa Developed Ones Zimepitia Hizi Hali na Wanafund Our Budget na Hasa Wanalipa Mishahara na Projects Mbalimbali Tanzania. We are not Asking for Them to Take Over Our Country Ila There Ways to Make Sure CCM is Not Going to Treat Citizens Like This. Hizi Strategies Zimework other Countries in Africa na Hata CCM Wakisikia Marekani na UK Hawapendezwi na Huu Uchaguzi, CCM Will Not Take It Lightly Trust Me. These Strategy Work and We Should Use Them!

Kaka seriously unajua unachokiongea...hubaatishi kama baadhi ya clowns here....ipo clear hawa big bosses wana-control 80% ya dynamics ya nchi yetu,kwanini wasi-press CCM rotten ballz kwa benefit ya wananchi?
 
Kwanza hili tatizo la kuwa influenced na nchi za nje ni tatizo. Pili hilo la kuibana CCM, you must be kidding! Hivi kuna mgeni gani aliyesababisha CCM B kutoa matokeo sehemu mbalimbali za nchi?

Achana na mawazo mepesi hivyo.
Tuna kila sababu ya kuwa influence wao na kupunguza to minimum influence yao!

Aisee inasikitisha hata hujui nchi zetu zinavyokua influenced na foreign powerz,acha uzembe....hebu acha kutuaibisha bwana...
 
Safari za JK nje ya nchi ndo zinatupa mwanga kama twaweza jitegemea au lah
Iyo budget tuu inategemea fund toka nje such that wakikohoa tuu uku tunayumba.
With the resources we have hatukutakiwa tutegemee nje kabsaaaaaaaaaaa
Ila aina ya viongozi tulio nao kutegemea nje wanaona deal then hao hao donors ndo wakuitia adabu serikali
 
Kweli Inaonekana Upeo Wako wa Foreign Affairs za Inchi Kweli Uzijui. Nani Anafund Budget ya Tanzania? Nani Anafund Project za Maji na AIDS Inchini? Nani Ametoa Funds kwa Ajili ya Kuendesha Free and Fair Election Tanzania? Wewe Unafikiri Tanzania Tax Payers Wanaweza Kulipia Hizi Projects na Kuwalipa Wafanyakazo Wote wa Serikali? Tunajua Tanzania Can Do a lot But CCM Always Mismanage Tax Payers Money. Unafikiri South Africa Segregation Policies Ziliishaje Bila Developed Nations Decided to Put Pressure Kwenye Government ya S.Africa. Hizi Tactics za Kulazimisha Serikali Zinazowakandamiza Wananchi Wao Kwa Namna Moja au Nyingine Kwa Kupitia Foreign Donor Zimetumika Duniani Kote na Zinawork. Nafikiri Unachanganya Mambo au Maybe you don't Understand What We are Discuss Here. CCM Cheated in This Election and If We Don't Get the Word Out They Will Continue to Oppress Tanzanians Year After Year. Tell Us Your Strategies Going Forward!
We don't need them, IF we have good leadership. We are one of the richest country in term of resources. Tatizo ni uongozi! Chakula tunajitosheleza, madini meeengi,....jaza na vinginevyo!
Sioni sababu ya bajeti kutegemea wahisani except viongozi wetu kupenda dezo!
 
We don't need them, IF we have good leadership. We are one of the richest country in term of resources. Tatizo ni uongozi! Chakula tunajitosheleza, madini meeengi,....jaza na vinginevyo!
Sioni sababu ya bajeti kutegemea wahisani except viongozi wetu kupenda dezo!


You need their support that's why your rais go every where to ask for thier assistance. We are not independent despite many resources the country hold. Poor governance and irresponsible leaders will continue to make this country dependant. Our internal sources of fund are not sufficient to accomodate our budget requirements. Poor tanzanian,....... will continue to be like Matonya, the only difference we do not laydown in streets but our president is like Matonya in EU and US. Shame on us for giving him another 5yrs to lead this nation.
 
Yes. We don't Need Them for Sure But If You Have People Like CCM Who Don't Have Ideas and They Can't Create Effective Economic Policies We will Always Go to the Donors. This is What We are Fighting for. At This Moment You Can't Ignore These Foreign Donors. You Can't Just Get Up in the Morning and Said You Don't Need Donors, You Go Back to The Drawing Board and Restructure The Whole Economy and It Takes Time and It's Long Process. At This Moment to Fight CCM with Election Results, We Have to Build Pressure from Outside Because If We Go to Judicial System Itself It Will Not Work. The Constitution itself was Created by CCM to Defend CCM. We Have to Move Forward With Tools and Environment We Have and I Promise If We Fight Hard We Will Take Out This Bad Government.
"Every Movement Start From The Bottom and Work Way UP"
 
Back
Top Bottom