kwanza kabisa tuambie nchi gani imeyamaliza hayo matatizoHabari JF,
Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?
Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.
Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.
Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.