Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 446
- 998
kivyovyote vile lakini katiba mpya kuna umuhimu mkubwa kuipata .wa unadhani CCM wanaweza toka kwa Katiba mpya ?
kivyovyote vile lakini katiba mpya kuna umuhimu mkubwa kuipata .wa unadhani CCM wanaweza toka kwa Katiba mpya ?
basi tuamini hivyoYes , na ndo maana wanaogopa kwn wanajua wakileta katiba mpya ndo mwisho wao . Na ww si mmoja wao
Ndiyo mlivyopanga hapo lumumba? Mnatapatapa sana na bado!Habari JF,
Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?
Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.
Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.
Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
daaaCrazy idea....
Kwanini issue asijiunge na other 15remaining parties...
Idiot
Sio waanzishe chama bali wakitaka wanaweza wakajiunga hata kwenye chama cha mzee wa kugawa ubwabwa mashuleni au chama chochote kingine !! Kuanzisha Chama kipya waulize Umoja Party !!Crazy idea....
Kwanini issue asijiunge na other 15remaining parties...
Idiot
Muda ukifika miti yote itateleza !! Karma !!kivyovyote vile lakini katiba mpya kuna umuhimu mkubwa kuipata .
CCM in wenyeweAhamie CCM..
Kwani mimba yako ina umri gani?Habari JF,
Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?
Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.
Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.
Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
Habari JF,
Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?
Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.
Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.
Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
Baba yako nae mmwisenge, yaani anatokea mwisenge, na ukoo wenu wote,1. Mihemuko na mihasira yote hiyo atamwongoza nani?
2. Nani atakubali kuwa na kiongozi wa chama mmwisenge (mtu wa mwisenge)? [Mwisenge ni eneo kwenye mji wa musoma]
lumumba ya wapi tena ?Ndiyo mlivyopanga hapo lumumba? Mnatapatapa sana na bado!
Mkuu unamchukia Magu bila sababu yoyoteTundu Lisu aungane na Bashiru?! Hebu acha utani Boss. Mwambie Bashiru aungane na kina Polepole, Makonda, Sabaya, Mnyeti na uchafu wa aina ile kuanzisha chama ili waendeleze ukatilili wao waliousimamia wakati wa Magufuli.
Sijawahi kumpenda shetani.Mkuu unamchukia Magu bila sababu yoyote
Habari JF,
Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?
Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.
Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.
Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
Bwashee mbona puvu kama lote, inaonekana na wewe ni mmwisenge 😂😂Baba yako nae mmwisenge, yaani anatokea mwisenge, na ukoo wenu wote,
KUSAJILIWA ICHOMA CHAMA SIO LEOHabari JF,
Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?
Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.
Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.
Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
Hiyo ndio kazi ya chawa waliyopewa, news za hovyo zitakuwa nyingi sana kipindi hichiCrazy idea....
Kwanini issue asijiunge na other 15remaining parties...
Idiot
sijawahi kuwa chawaHiyo ndio kazi ya chawa waliyopewa, news za hovyo zitakuwa nyingi sana kipindi hichi