Kuna haja ya Tundu Lissu kuanzisha chama cha siasa kwa masilahi mapana ya Taifa

Habari JF,

Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?

Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.

Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.

Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
Ndiyo mlivyopanga hapo lumumba? Mnatapatapa sana na bado!
 
Crazy idea....
Kwanini issue asijiunge na other 15remaining parties...

Idiot
Sio waanzishe chama bali wakitaka wanaweza wakajiunga hata kwenye chama cha mzee wa kugawa ubwabwa mashuleni au chama chochote kingine !! Kuanzisha Chama kipya waulize Umoja Party !!
 
Habari JF,

Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?

Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.

Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.

Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
Kwani mimba yako ina umri gani?
 
Habari JF,

Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?

Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.

Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.

Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.

Tundu Lisu aungane na Bashiru?! Hebu acha utani Boss. Mwambie Bashiru aungane na kina Polepole, Makonda, Sabaya, Mnyeti na uchafu wa aina ile kuanzisha chama ili waendeleze ukatilili wao waliousimamia wakati wa Magufuli.
 
Tundu Lisu aungane na Bashiru?! Hebu acha utani Boss. Mwambie Bashiru aungane na kina Polepole, Makonda, Sabaya, Mnyeti na uchafu wa aina ile kuanzisha chama ili waendeleze ukatilili wao waliousimamia wakati wa Magufuli.
Mkuu unamchukia Magu bila sababu yoyote
 
Chadema wajanja sana wameona wazindue kabla hajafika maana wameshajua yule anajijenga zaidi kuliko kukijenga chama lakini pia wameona atalopoka aharibu dhana ya makubaliano ya Mama na Mbowe
Habari JF,

Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?

Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.

Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.

Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
 
Habari JF,

Hivi katika mazingira yalivyo sasa ni nani anaweza kusema CHADEMA ya Mbowe ni wapinzani? ACT Wazalendo ya Zitto ni wapinzani? Au CUF ya Lipumba ni wapinzani?

Ukweli ni kwamba tumebakiwa na wapinzani wachache kama kina Mbatia, Heche, Lema, Tundu Lissu etc, na katika hawa Tundu Lissu bado atabaki kama mpinzani mwenye ushawishi mkubwa.

Hivyo kuna haja kwa Tundu Lissu kukusanya nguvu kutoka kwa wapinzani tajwa hapo juu na watu kama kina Bashiru waunde chama ili kuiokoa nchi. 2025 chama kikitia nguvu ya kutosha hata kwa katiba ya sasa CCM inaweza toka.

Tanzania inahitaji akili na mawazo mapya, ni aibu miaka 60 baada ya uhuru bado tunashida za maji, umeme, afya, vyoo mashuleni nk; kwa Nchi yenye madini, bahari, mito, maziwa, utalii, eneo kubwa la kilimo nk.
KUSAJILIWA ICHOMA CHAMA SIO LEO
 
Back
Top Bottom