Kuna haja ya serikali kuingilia kati kwenye uchaguzi ujao wa TFF

Yaani wewe jamaa mawazo yako yapo kushoto kwelii yaani unataka serikali iingilie tena mpira kwa kutuwekea kiongozi Tff? Tena unaiomba kabisa serikalii duuh!
 
Nyie utopolo tuwaeleweje mara FIFA wanazuia serikali kuingilia mpira mara serikali iingilie uchaguzi wa tff mpka mnashindwa kueleweka.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom