wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,685
- 26,779
Yaani takwimu zinaonyesha serikali ifanye haraka sana kukusanya wale woote wenye uzoefu au kujua silaha (waliopitia jeshi)kwani kuna viashiria viashiria ambavyo hapa mbeleni panaweza kuwa sio pazuri saana na hata kama watafanikiwa hao hao serikali inaweza watumia wao kama kutuliza ghasia maana kuna mipango ambayo serikali yenyewe inaweza isiamini.
Naomba niishie hapo.
Naomba niishie hapo.