DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Mwenye akili ameshakuelewa. Tunaomba wenye busara waingilie kati kabla huyu dereva mlevi ajasababisha maafa.Yaani takwimu zinaonyesha serikali ifanye haraka sana kukusanya wale woote wenye uzoefu au kujua silaha (waliopitia jeshi)kwani kuna viashiria viashiria ambavyo hapa mbeleni panaweza kuwa sio pazuri saana na hata kama watafanikiwa hao hao serikali inaweza watumia wao kama kutuliza ghasia maana kuna mipango ambayo serikali yenyewe inaweza isiamini.
Naomba niishie hapo.